Kwani ule usemi kuwa JF ni ya CDM ni wa kweli? ina maana sie tusioshabikia vyama tufunge virago?
Mkuu Osama bin Laden ameuawa na Wamarekani usiku wa jana. Unayo taarifa?
Kwani ule usemi kuwa JF ni ya CDM ni wa kweli? ina maana sie tusioshabikia vyama tufunge virago?
Hakuna kiongozi au mtu yeyote aliye kamili duniani. Kila mtu ana udhaifu wake na huwezi kufanya kitu kwa kuogopa kwamba utakosea. Binafsi LEMA ni kati ya viongozi mahiri tunao wahitaji. Tanzania ya sasa lazima tufikie hapo ndo tutairejesha Demokrasia ya kujadili. LEMA hakopeshi na hakopesheki. LEMA songa mbele na usirudi nyuma. Nafiriki kama LEMA leo angekuwa Magufuli angejiuzulu kwa vile Mh RAIS kamwaibisha. Au la pangekuwa hapatoshi.
LEMA GO GO GO AND DONT BOW DOWN. PAMOJAH SANA. ACHANA NA MAJUNGU.
Hivi? Chadema inaongozwa na malaika? kama ni kweli tupe jibu.
Na katika orodha yako mbona huonyeshi zinazoikandia CCM kwa hivi karibuni, naambazo ni nyingi zaidi ya hizo!!
Aaah bwana we mbona unaniangusha mkuu lole,yours is a very high reputation bana! Crashwise ameweka effort kuweka wazi uhuni na unafiki wa mwanzisha mada kujaribu kuingia kwa gea ya kuwa mfuasi wa CDM katika "kukosoa" CDM ilihali ushahidi wa kimazingira unaonesha kuwa sivyo! Wengi wameandika vibaya kuhusu CDM lakini hilo si tatizo. Tatizo ni COWARD kama huyu kujifanya eti ni mwana-CDM pengine ni kwa kuogopa kushambuliwa na wana-CDM kwa "hoja" zake za ki-clouds fm. Mie nitamheshimu malaria sugu mara kumi ya cowards kama hawa!
Na hapa ndipo ninapoona upungufu wa kutumia ID fake hapa jamvini. Ina-encourage sana kuzungumza pumba humu ndani as long as unajua hata wanao hawatakujua kuwa ni wewe. Namna hii ya kutumia jamvi, kwa kuwa imeasisiwa na Tambwe nilidhani wengi wangeiona upesi. Nimekugongea senksi crashwise!
Sifikirii kama Lema huwa anashirikisha ubongo wake ktk maamuzi.
Ndugu zangu ktk jambo ninaloshukuru ktk maisha yangu ni kutokuwahi kuwa CCM, siku zote ktk kipindi hiki kifupi nichobakisha ktk maisha yangu namuomba Mungu anipe umri nitakaoweza kushuhudia anguko la CCM.
Tangu zilipoanza siasa za vyama vingi nilikuwa natamani WATANGANYIKA tuwe kama WAZANZIBAR ndugu zetu wa visiwani walinifurahisha sana zilipoanza SIASA ZA VYAMA VINGI walifunguka mapema na kuona ni wakati muafaka wa KUIANGUSHA CCM japo mpaka leo wameshindwa kutokana na WIZI WA CCM.
JAPO HIVI SASA NAFURAHI WATANGANYIKA TUMEAMKA ZAIDI YA WAZANZIBAR NA NAAMINI 2015 CCM WATAKUWA CHAMA KIKUU CHA UPINZANI. NA CHADEMA KITAKUWA CHAMA TAWALA.
Lakini ndugu nimekuwa nikiwafuatilia kwa karibu sana MAWAZIRI wetu watarajiwa kwenye SERIKALI MPYA ya CHADEMA hapo 2015. Huyu waziri wetu mtarajiwa wa MAMBO YA NDANI mheshimiwa LEMA nahisi ana walakini.
Kwangu kiongozi shupavu ni yule;
1: mwenye hekima
2:mwenye busara
3:mwenye kufikiria kabla ya kuzungumza au kutenda
4: na jasiri
Nina posema kiongozi jasiri simaanishi yule ambaye yuko tayari kupigana wakati wowote au kutukana wakati wowote kwangu mimi kiongozi JASIRI ni yule ambaye ana uwezo wa kudhibiti HASIRA ZAKE.
5: mwenye kuona mbali
6:mwenye kuwaheshimu viongozi wenzake
7:asiye na majivuno ya kuona yy pekee ndio mwenye uchungu wa nchi hii
Ktk sifa zote nilizoorozesha hapo kwangu mimi nahisi na naamini ndio kiongozi bora anatakiwa kuwa nazo lkn nina hofu itakuwaje siku mhe LEMA AKIWA NDIO RAIS WA NCHI HII AU WAZIRI MKUU WA NCHI, AU WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA NCHI HII AU WAZIRI WA ULINZI WA NCHI ETC
Ndugu zangu nina mashaka nae na ikiwa kama raia mwema na mpiganaji wa jeshi la wanyonge wa nchi wenye kutaka maendeleo kwa njia ya AMANI nahisi mhe LEMA inabidi apunguze HASIRA, JAZBA, KUJIFANYA YEYE PEKEE MWENYE UCHUNGU, PIA AWE MWENYE KUFIKIRIA KABLA HAJAONGEA AU AJITAHIDI KUUSHIRIKISHA UBONGO WAKE KTK MAAMUZI YAKE IKIWA HASWA YY
NI KIONGOZI PIA NI KIOO CHA JAMII.
Mheshimiwa LEMA amekuwa mara kwa mara akitaka kutumia MABAVU au amekuwa akiwashutumu au kutumia lugha mbovu dhidi ya viongozi wenzake especially kwa MHE ZITTO.
NA HIVI KARIBUNI AMEKARIRIWA AKISEMA MILANGO IFUNGWE ILI WABUNGE WAPIGANE HII NI KUONYESHA LEMA SIO JASIRI, HANA HEKIMA, HANA UVUMILIVU. N
AOGOPA SANA AKIWA YY NI RAISI ANAWEZA KUTUUINGIZA KTK MIGOGORO MINGI DUNIANI.
Mheshimiwa ajue siasa si uwanja wa FUJO siasa tunaka hoja na kuvumilana, na sio saa zote kuwashutumu wenzake kuwa ni wanatumiwa na kama ana ushahidi autoe ili wachukuliwe hatua stahiki sio kuleta shutuma zisizokuwa na msingi na umaarufu anaotaka wa fujo utamtokea puani.
Nadhani mhe LEMA utaisoma habari na utanielewa, mimi ni mfuasi mahiri wa CHADEMA NA NIMESHINDWA UVUMILIVU WA HIZI KAULI ZAKO.
IKIWA KUNA POPOTE NIMEKOSEA UTANISAMEHE USIJE UKASEMA UTANITAFUTA ILI UNIPIGE KAMA ULIVYOTAKA KUWAPIGA WABUNGE WA CCM BUNGENI.
jibuni hoja sio mnasema mambo yasiyokuwa ya msingi DAIMA NITASIMAMIA UKWELI LEMA SIO KIONGOZI MWENYE BUSARA. CHADEMA KIDUMU DAIMA NA LEMA AJIREKEBISHE
Sifikirii kama Lema huwa anashirikisha ubongo wake ktk maamuzi.
Ndugu zangu ktk jambo ninaloshukuru ktk maisha yangu ni kutokuwahi kuwa CCM, siku zote ktk kipindi hiki kifupi nichobakisha ktk maisha yangu namuomba Mungu anipe umri nitakaoweza kushuhudia anguko la CCM.
Tangu zilipoanza siasa za vyama vingi nilikuwa natamani WATANGANYIKA tuwe kama WAZANZIBAR ndugu zetu wa visiwani walinifurahisha sana zilipoanza SIASA ZA VYAMA VINGI walifunguka mapema na kuona ni wakati muafaka wa KUIANGUSHA CCM japo mpaka leo wameshindwa kutokana na WIZI WA CCM.
JAPO HIVI SASA NAFURAHI WATANGANYIKA TUMEAMKA ZAIDI YA WAZANZIBAR NA NAAMINI 2015 CCM WATAKUWA CHAMA KIKUU CHA UPINZANI. NA CHADEMA KITAKUWA CHAMA TAWALA.
Lakini ndugu nimekuwa nikiwafuatilia kwa karibu sana MAWAZIRI wetu watarajiwa kwenye SERIKALI MPYA ya CHADEMA hapo 2015. Huyu waziri wetu mtarajiwa wa MAMBO YA NDANI mheshimiwa LEMA nahisi ana walakini.
Kwangu kiongozi shupavu ni yule;
1: mwenye hekima
2:mwenye busara
3:mwenye kufikiria kabla ya kuzungumza au kutenda
4: na jasiri
Nina posema kiongozi jasiri simaanishi yule ambaye yuko tayari kupigana wakati wowote au kutukana wakati wowote kwangu mimi kiongozi JASIRI ni yule ambaye ana uwezo wa kudhibiti HASIRA ZAKE.
5: mwenye kuona mbali
6:mwenye kuwaheshimu viongozi wenzake
7:asiye na majivuno ya kuona yy pekee ndio mwenye uchungu wa nchi hii
Ktk sifa zote nilizoorozesha hapo kwangu mimi nahisi na naamini ndio kiongozi bora anatakiwa kuwa nazo lkn nina hofu itakuwaje siku mhe LEMA AKIWA NDIO RAIS WA NCHI HII AU WAZIRI MKUU WA NCHI, AU WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA NCHI HII AU WAZIRI WA ULINZI WA NCHI ETC
Ndugu zangu nina mashaka nae na ikiwa kama raia mwema na mpiganaji wa jeshi la wanyonge wa nchi wenye kutaka maendeleo kwa njia ya AMANI nahisi mhe LEMA inabidi apunguze HASIRA, JAZBA, KUJIFANYA YEYE PEKEE MWENYE UCHUNGU, PIA AWE MWENYE KUFIKIRIA KABLA HAJAONGEA AU AJITAHIDI KUUSHIRIKISHA UBONGO WAKE KTK MAAMUZI YAKE IKIWA HASWA YY
NI KIONGOZI PIA NI KIOO CHA JAMII.
Mheshimiwa LEMA amekuwa mara kwa mara akitaka kutumia MABAVU au amekuwa akiwashutumu au kutumia lugha mbovu dhidi ya viongozi wenzake especially kwa MHE ZITTO.
NA HIVI KARIBUNI AMEKARIRIWA AKISEMA MILANGO IFUNGWE ILI WABUNGE WAPIGANE HII NI KUONYESHA LEMA SIO JASIRI, HANA HEKIMA, HANA UVUMILIVU. N
AOGOPA SANA AKIWA YY NI RAISI ANAWEZA KUTUUINGIZA KTK MIGOGORO MINGI DUNIANI.
Mheshimiwa ajue siasa si uwanja wa FUJO siasa tunaka hoja na kuvumilana, na sio saa zote kuwashutumu wenzake kuwa ni wanatumiwa na kama ana ushahidi autoe ili wachukuliwe hatua stahiki sio kuleta shutuma zisizokuwa na msingi na umaarufu anaotaka wa fujo utamtokea puani.
Nadhani mhe LEMA utaisoma habari na utanielewa, mimi ni mfuasi mahiri wa CHADEMA NA NIMESHINDWA UVUMILIVU WA HIZI KAULI ZAKO.
IKIWA KUNA POPOTE NIMEKOSEA UTANISAMEHE USIJE UKASEMA UTANITAFUTA ILI UNIPIGE KAMA ULIVYOTAKA KUWAPIGA WABUNGE WA CCM BUNGENI.
Nimesema za karibuni kama vipi soma upya acha kukurupuka, aliesema chadema ni malaika ni nani?...umeona kipi cha maana kwa mleta hoja kwenye topic zake zote tano, je umejipa muda kupitia mabandiko yake...mmeshindwa kukishambulia chama kama chama mmekuja na sera ya kugombanisha viongozi wetu wa CDM na kujaribu kutukagawa wanachama, wapenzi wa CDM tuko macho na nyendo zenu..siku hizi mnaingia kwa kuifagilia CDM au kuiponda CCM ili mtakapoanza kuiponda CDM tujue nyie ni wenzetu....Njoni na hoja za msingiHivi? Chadema inaongozwa na malaika? kama ni kweli tupe jibu.
Na katika orodha yako mbona huonyeshi zinazoikandia CCM kwa hivi karibuni, naambazo ni nyingi zaidi ya hizo!!
Sawa nakubaliana nawewe mkuu kuwa Mh. Lema siyo mnafiki, lakini pia ni mtu asiye na uvumilivu, subira, wala kufikiri kabla ya kusema jambo, hilo ni tatizo kubwa sana kwa kiongozi yeyote. Namfagilia sana Lema but katika kipindi hiki kifupi ameanza kunitia mashaka sana.Mimi Nampenda sanj Lema kwa sababu Si mnafiki..pole Kwa Majungu ndugu
ukifuatilia historia yake utakuta alikuwa jambazi, matajiri wa arusha sina hamu nao!
kuna tungo tata na semi tatanishi... ninaposoma neno "mtetezi wa wanyonge" huwa nashindwa kujua huyu mtetezi wa wanyonge ni nani haswa! kwa sababu "watetezi" wengi wa wanyonge wanaopatikana katika dunia hii ya leo ni "WATUMIA WANYONGE" kwa maslahi yao....Umeshaanza Majungu..!
Wenzako tunajadili gamba na utajiri wa Riz1 wewe unajadili kuhusu watetezi wa wanyonge...!Kaazi kweli kweli..!:israel: