English Learner
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 355
- 355
Kweli kabisa Mkuu,
Tena nasikia kuna kiongozi mmoja kijana wa upinzani ndio huwa anakula hizo hela halafu hawa madogo wanaambulia milioni mbili!!
Mkono akipata mtu serious anapigwa chini kirahisi sana!
I wonder why people can't reason kwa nini ilikuwa rahisi kwa Zitto kupata sahihi ya Mkono kwenye petition!
Na Zitto can get whatever he demands from the Mkono-like