UWEZO_WAKO
Member
- Nov 17, 2010
- 39
- 4
Hongera sana kwa kutangaza nia kwa style ya uwoga hivi. Ila kabla ya kumtoa Mkono utatakiwa kufanya kazi ya kunitoa mimi kwanza katika ngazi ya chama (CHADEMA) kama utataka kugombea kwa chama chetu makini. Ni mimi kijana wa Mmazami Makutano ya juu. Fisadi Mkono lazima aondoke 2015.
Nimeipenda hii, uzuri wa mchezo ni lazima kukabana na mwisho wa siku CDM ichukue Jimbo. Kongi, hebu na wewe weka wasifu wako tuone.