Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
Niliulizwa hili swali nikakosa jibu naomba nanyi munisaidie. Kuna jamaa yuko Jo'burg akamuagiza mdogo wake amuolee mke na nduguye akamuolea,huyu jamaa akaamua kurudi Mafia kiss one(kisiwani) ili akamchukue mkewe na kwenda naye South,jamaa alipofika DIA akamuona msichana mrembo akamtongoza na wakaenda kuvunja amri ya 6 walipomaliza wakaagana na kila m2 kutimukia kwake, jamaa alipofika nyumbani ili amuone mke wake mwenyewe ,akamkuta yule msichana ndiye mke wake mwenyewe ambaye wamemùolea. Ktk dini ya kiislamu/kikristo. Je? Huyu jamaa kazini au kamuingilia mkewe.