Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Another Pumba Expresss. . .
Duh,bora niko mbali ningesha pewa kofi hapo.
Another Pumba Expresss. . .
Umeona eh.
Huyu binti/dada/mama ni noma unaweza chapwa ngumi usiku mzima.
Mkuu hii imenitekenya sana!!!
Ila kaza buti ataingia laini bado anakupimia ustaimilivu wako pia!!
Alafu ww dada mbona huna huruma!!? Huoni ukiendelea kuwa kimya jamaa anaweza kwenda "Iringa na kamba!!?"
ha ha ha haaa!
Lol....ntayafikisha.. Mia.
Mkono mtupu haulambwi. Peleka posa na bahasha nono kwa wazee wake. Millioni. (Mia haifanyi kazi hapo).
hawawezi kwenda that low kuomba vocha,if it is something bigger like a dar/zurich return ticket hapo i will understand
asante sana dada yangu. si unajua yeye ndo kanikaribisha ila hapo kati nikamzingua. asante sana. Mia
Mwambie peponi unaiona kwenye paji lake, wakati huo unaweka tabasamu zaidi ya lile la mkulu wakati wa kutetea wezi wa EPA!!mkuu naomba mistali miwili ya kumchomekea kwenye maongezi naona popobawa kaishiwa mistali kabisa. Mia
mkuu naomba mistali miwili ya kumchomekea kwenye maongezi naona popobawa kaishiwa mistali kabisa. Mia
Mwambie peponi unaiona kwenye paji lake, wakati huo unaweka tabasamu zaidi ya lile la mkulu wakati wa kutetea wezi wa EPA!! Popobawa hawezi kukupa mistari anahofia atakosa kampani ya kwenda maeneo!!mkuu naomba mistali miwili ya kumchomekea kwenye maongezi naona popobawa kaishiwa mistali kabisa. Mia
wakati wote unamuona JF,anaweza kuwa ni kidume,no wonder anakuchunia,duuh hata vocha unamtumia????
Mzee wa mia mwenyewe kajichanganya bana, penzi halijakubaliwa anamwaga vocha, likikubaliwa si atanunua ndege?..lol.
Bila shaka ni kati ya MS na FF! Hapo mzee geuza gari
Mpe invitation ya kwenye candle lit dinner,hapo hata mistari huhitaji tena-from then on itakuwa kama kumsukuma mlevituyaache hayo. coz hajaniomba vocha ili ndo anipe penzi. nimeongea hivyo kuonyesha ukaribu tulio nao. wewe kama una mistali ya kutongozea nimwagie hapa laki isiwe ile ya nimekunywa maji nikakuona kwenye glass. mia
Duh,bora niko mbali ningesha pewa kofi hapo.
Mkono mtupu haulambwi. Peleka posa na bahasha nono kwa wazee wake. Millioni. (Mia haifanyi kazi hapo).