Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
Mkuu wewe unanidanganya. unataka nianze kutapatapa nikose pote. siku ile nilikuomba nizae na wewe ukakataa, ukasema eti unaye wa kwako. eti unampenda sana. yeye ana mtoto tayari lakini wewe huna. nikakubembeleza nikuzalishe lakini ukantolea nje. leo kweli umenipenda au unantania. mwenzio nahitaji kuanza maisha ya ndoa so nipo serious kama vipi sema nibadilishe mawazo kama. tunaandikishana kwa invisible kabisa kama ukinikimbia unanilapa inakula kwako. Mia
kweli baby nakwambia,nakupenda sana tu.Tatizo wee ulikuwa unantania