figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
- Thread starter
- #41
Siku ukikutana nae unaweza kuzimia, maana unaweza kukuta ni gwagu kisawasawa
hapana mkuu. yaani ukimsikia sauti yake ilivyo nyororo hadi wewe unaweza kuwa na hamu. Mia
Siku ukikutana nae unaweza kuzimia, maana unaweza kukuta ni gwagu kisawasawa
Kumbe ulimtukana...! Labda bado ana maumivu ya mitusi yako. Mia!!
Kwa hiyo ukishang'oa kule temeke sudani 2takua ha2endi tena? Hundred.
Mungu hapendi......lol!!
Mzee wa mia mwenyewe kajichanganya bana, penzi halijakubaliwa anamwaga vocha, likikubaliwa si atanunua ndege?..lol.heheh kama vocha mlitumia wote.....utajiju, na wewe unatafutiwa mdogo wake figganigga! Sema ameeni!!
Ngoja nikamtafute aje hapa ajibu mashitaka...mia
komaa jombaa, atafutae hachoki! Ila ex-gelo akiibuka hapa, hahahah.... kisiponuka bahati yako!!!
Hapa naona unatuletea fibes,mimi siamini kama humu JF KUNA mwanadada wa kuomba vocha,waliomo humu are bigger then that
Lizzy anaweza kunijaza makovu mwili mzima coz ana hasira kinyama. ukileta matani na penzi lake anaweza kukutoa roho. watu wa hivyo nawaogopa. Mia
Mkuu hii imenitekenya sana!!!wakuu mimi naomba munipe maunjanja ya kutongoza. mbona unaniangusha popobawa? kwani mimi nlienda lini huko unako kusema? mimi sipajui bana. nipe maujanja mkuu. Mia
Lol....ntayafikisha.. Mia.au siyo? ntashukuru sana. naamin utafanikiwa coz ni rafiki yako. mwambie asahau yaliyo pita tugange yajayo. mimi figganigga nimebadilika na kuwa mtoto mzuri tofauti na yule figganigga wa mwaka jana naomba umwambie arudishe moyo nyuma. Mia
hawawezi kwenda that low kuomba vocha,if it is something bigger like a dar/zurich return ticket hapo i will understandmtu anakuwa na vx100 lakini bado anaomba spana. jf ni ya wabongo je wajua maisha ya wabongo?. kama mimi ni mtoto wa mkulima sijui wewe. Mia
Another Pumba Expresss. . .Umeona eh.
Huyu binti/dada/mama ni noma unaweza chapwa ngumi usiku mzima.
habari wakuu. nipeni maujanja ya kutongoza ili nimiliki kifaa.
yaani ni mjanja kinyama. kila ninapo msomesha ananiambia hadanganyiki, nikimsomesha ananiambia eti mimi mzee wa mia ni mzee wa totoz, nmejaribu kujipendekeza kwa kutuma vocha lakini hata asante hasemi. mara aseme yupo busy wakati mda wote namuona jf. hadi hapa kashajijua ni nani. nitumie nafasi hii kumwambia; "nakupenda sana binti. wewe ndo wakunipa faraja. naahidi naahidi kutunza penzi lako na kulienzi. sitakuumiza. Mmwaaa..!!". mia
Ila kakondoo kanapenda. . .
Lol....ntayafikisha.. Mia.
Mzee wa mia mwenyewe kajichanganya bana, penzi halijakubaliwa anamwaga vocha, likikubaliwa si atanunua ndege?..lol.