Bazenga01
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 772
- 1,265
Habari za wkend,
Jamani kuna huu wimbo unaitwa AFRO wa les Wanyika mwenzenu unanichanganya sana. Kila niusikiapo natamani ninyanuke nicheze.
Na nyie wenzangu nyimbo gani ya zamani inawagusa?
Mwanameka wa Marijani rajabu nomaa.. yani mtoto alivomtega Mussa mpk akaingia line, unanikumbusha Hawa alivomtega Adam kuleee Eden bustanini. halafu 'Cassanova' wa LeVert aaah mi HOI..!