Usitumie pesa kama fimbo mamaaa; wimbo wa Cosmas Chidumile.
Huo wimbo wa jamaa aliyetoka shamba unaitwa 'Jogoo la shamba...' wimbo wa Mbaraka Mwinshehe, Super Volcano.
Sio rangi ya Amy?Rangi ya chungwa
Hapo umenikumbusha MARASHI YA PEMBA'' Yolele'' papa pemba
ule wa kifo hamuukumbuki???
au ndo mnaogopa...remmy...R.I.P
Sio rangi ya Amy?
na huu pia hunikuna
'mtoto akililia wembe acha umkate . . .'
nadhani wa remmy
Habari za wkend,
Jamani kuna huu wimbo unaitwa AFRO wa les Wanyika mwenzenu unanichanganya sana. Kila niusikiapo natamani ninyanuke nicheze.
Na nyie wenzangu nyimbo gani ya zamani inawagusa?