Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Habari za wkend,
Jamani kuna huu wimbo unaitwa AFRO wa les Wanyika mwenzenu unanichanganya sana. Kila niusikiapo natamani ninyanuke nicheze.
Na nyie wenzangu nyimbo gani ya zamani inawagusa?
Jamani kuna huu wimbo unaitwa AFRO wa les Wanyika mwenzenu unanichanganya sana. Kila niusikiapo natamani ninyanuke nicheze.
Na nyie wenzangu nyimbo gani ya zamani inawagusa?