Polisi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,082
- 640
wakuu naomba msaada juu ya wimbo huu. Samahani nitauandika pengine ndivyo sivyo.
Unasema hivi hivi,
'wazazi, wazazi nakonda na mawazo yenu ya kila siku
mnanilazimisha kuolewa na mimi bado ni mdogo
miaka kumi na nne........................
CHORUS
Samahani samahani samahani baba na mama, sitaweza kuolewa...............
............
Kama unamjua aliyeupiga nitajie, si vibaya pia kama utanirushia
Unasema hivi hivi,
'wazazi, wazazi nakonda na mawazo yenu ya kila siku
mnanilazimisha kuolewa na mimi bado ni mdogo
miaka kumi na nne........................
CHORUS
Samahani samahani samahani baba na mama, sitaweza kuolewa...............
............
Kama unamjua aliyeupiga nitajie, si vibaya pia kama utanirushia