Nicole
JF-Expert Member
- Sep 7, 2012
- 4,274
- 2,514
anapnekana alikwepa umande...kweli shule za kata zimezalisha matatizo makubwa sana..graduate hajui kuandika???
Waonw wenye njaa hawa. Ulikuwa wapi siku zote, na kwa nini uje kusemea huku, kasimawe kwenye jukwaa uyasema haya kama wewe siyo ndiyo ngozi ya kondoo usiye maanisha unachosema. Kuandika kwenyewe shida halafu unataka kuwa kiongozi. Shame on you.