Ukitaka kuujua utamu wa ngoma, uingie ucheze....
Utoto ni wa mtoto, akikua atajua afu ataacha.
Baada ya kusema hayo nawasalimuni nyote kwa mpigo.
Don't worry,hapa hakuna zile za usifuate matendo yangu fuata maneno.Hapa maneno na vitendo vinaendana!
Bora umemwambia,maana ana matatizo na akina dada huyo!
Bora umemwambia,maana ana matatizo na akina dada huyo!
Kampeni yenu itashindwa.
jei efu's new couple, KAUNGA + EIYER = ..................! KUDOS TO YOU 2! YM anawasalimu, hata job hataki kwenda kanigeuza platform! lolest!
Kampeni yenu itashindwa.
Mwanaume rijali hawezi kuwa na mwanamke mmoja bana!
:majani7:
heheheh! eiyer njo umsikie huyu eti urijali unapimwa kwa kuwa na wwanawake wengi. Lol kuna mwenzenu kateguka ub... kwasababu hiyo ngoja nyie mvunjike kabisa. kisa kutoboa toboa. mashimo mengine yana mwamba ohooo! shauri yako.
gfsonwin usikate tamaa my dear, mdomo huumba, hivyo am sure sala zako zitasikiwa tu!sasa kiembe wangu nimekwamba utoke humu ndani, mbona waninyima raha? yaani sijui kama hao wakwe watapona mwaka huu lolol Gson kuwa mwanangu huyu ndo bamkwe