ili uheshimike kwenye ndoa heshimu familia yako heshimu mke/mme wako mtaishi kwa amani sana lakini hii chovya chovya madhara yake ni makubwa sana kama vile magonjwa, kuonekana uko mtupu, etc.
Hivi unajua Kaunga kitendo cha kuwa na mwanaume mmoja pekeako ni ufisad?ufisad si mzuri sharti tumtumie wote et!Too late galfriend, he is already taken; but Jaribu ila he is a one woman guy. Najiamini hadi Raha! Eiyer love; can't have enough of you!
Hivi unajua Kaunga kitendo cha kuwa na mwanaume mmoja pekeako ni ufisad?ufisad si mzuri sharti tumtumie wote et!
Thanks gfsonwin that is so sweet of you kunipigia debe to my Eiyer. Nahitaji kufundwa sana na wewe, kwenye hii kitu ya marriage; lakini kilichokuwa kinanishinda siku zote ni kuvumilia infidelity and l thank God that kwa my Eiyer that is not an issue kabisa. Eiyer; how I love that sound of the sweet name!
MASELE,katika mambo ambayo nina uhakika nayo ni hili.NINAWEZA KUMTUNZIA MKE WANGU HESHIMA YAKE!
eiyer point! nimekugongea mi-like kama 10 ya bureeeeeeeeeee! yaani wakifanya wao eti ni ufahari! hata matron wa haruc anataka amege, tufiakwa mimate ya kutosha kifuani mwangu, bora liende tu, nikae tu!
Ha ha ha!
Aisee kuna vitu vya kushea lkn sio Eiyer aisee; basi nakuachia nafasi yangu ya kuwa SH wa The Boss ili uamini siyo fisadi kihivyooo!
Kongosho,najua wanawake wachache sana waliopata "bahati" ya kupata wanaume kama mimi,but trust me tupo japokua najua ni wachache,ile dizain ya kina The Boss na Asprin ndo wengi zaidi!
Thanks gfsonwin that is so sweet of you kunipigia debe to my Eiyer. Nahitaji kufundwa sana na wewe, kwenye hii kitu ya marriage; lakini kilichokuwa kinanishinda siku zote ni kuvumilia infidelity and l thank God that kwa my Eiyer that is not an issue kabisa. Eiyer; how I love that sound of the sweet name!