gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,674
Eiyer ngoja nikupe stor ya mkaka mmoja ni kweli kabisa alikuwa na mkewe na wakabahatika kupata mtoto. baada ya baba kuanza kupata hela akaona aanze ufuska lol si akachemka ktk pitapita akampitia hgel wa jirani. Sasa mkewe alikuwa ni mtu bize sana na kazi zake so wapambe wa mtaa wakawa hawamfagilii. siku moja yule hgel akamwambia hgel wa mama husika unajua watu wote hapa mtaani wanamshangaa sana mama yako? akauliza kwanini eti kabamia ka mumewe kadogo kama kipisi cha sigara, binti akamuuliza ulikaonea wapi?akajibu. mimi nimelala naye na hata mama fulani pia yaani, kabamia ni kadogo hata kakiingia huskii na ukikohoa tu kanatoka lol...................... binti husika alishindwa kuvumilia akamwambia mama yake. Mama wacha aangushe kilio jamani nilijua ni siri yangu na muhusika kumbe hata majirani wanajua hivi................ mume kuambiwa hana jibu kwa aibu lol. tell me alijidhalilishaje huyu?
Last edited by a moderator: