kumekuwa na tuhuma kila tunapokuwa na uchanguzi hapa nchini hasa zinazo husu kuchakachuliwa kwa matokeo. Nilikuwa na waomba wanaJF hebu tujaribu kutoa mawazo yetu ya kujenga, kuwa nini kifanyike ikiwa matokeo yatagundulika kuwa yamechakachuliwa.
Magamba bwana,kila uovu wanaoutenda wanaugeuza kwa CDM...
Mechanical error kwenye nervous system.unajitahidi kujifanya unaupinga ukweli wa mambo!!!!!!!!!! wewe ndo unayejifanya kujipa matumaini hewa! wewe pamoja na hao magwanda wako kwishnei!!!
Naona ndio utakuwa muda rasmi wakung'oa CCM madarakani, pamoja na ukweli kwamba jeshi limewekwa standby Arusha, Mwanza, Mbeya, Shinyanga na Dar es Salaaam. Ombi letu kwa jeshi na polisi haswa wale wa vyeo vya chini ambao ndio wengi na ambao haki zao wananyimwa ni kuwa kusimama kulinda nchi na mali zake na sio kuua ndugu, jamaa na marafiki kwa ajili ya tabaka la walio waroho wa madaraka. Ombi letu kwa jeshi na polisi ni kuwa waige mfano wa Jeshi na Polisi wa Misri, wasiwe vibaraka wa viongozi ambao ni vipofu na wasio kuwa tena credibility ya kuongoza hii nchi. Ombi letu kwa Jeshi na Polisi wa tanzania ni kuwa hakika damu ya kila mtanzania watayoimwaga kukidhi matakwa ya viongozi waporaji na wasiojali future ya tanzania itakuwa laana kwao na kwa vizazi vyao. Tunacho waomba jeshi na polisi kusimama upande wa upande utakoa shinda na kulinda matakwa ya watanzania kwa kuwa wanastaili ya kuchagua nani atakaye waongoza na sio kuchaguliwa na tume ya uchaguzi wa CCM kwa matokeo ya kuchakachuliwa.
Tina ina maana katika mawakala hao na Chadema wamepokea pesa hiyo ? Au hao 20 ni wa wapi ?
Kuna habari kwamba uongozi wa CCM unahofia kuwa Chadema kwa kushirikiana na kundi la wana CCM wana mpango wa kuiba kura. Sababu ya hofu hiyo ni pale gari la viongozi wa juu wa CCM lilipopita eneo walipokua wasimamizi wa vituo, wakashangaa wasimamizi wakionyesha alama ya vidole viwili ikiwa ni ishara ya kuwa wao ni Chadema.
Taarifa zilizofuatia zikasema kwamba baada ya hapo na CCM ikaamua kuwapa baadhi ya mawakala fedha na inasemekana baadhi wamepewa laki moja moja na mashuhuda wametuambia hapa Nzega kwamba wameona wasimamizi 20 waliopokea fedha hizo. Tunakumbuka uchaguzi wa 1995 aliyekua Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Ali Ameir Mohamed alisema hatakubali matokeo maana CUF waliiba kura kule Zanzibar, matokeo yake CUF walionja joto ya jiwe na hadithi ndio hiyo kabla ya ndoa ya majuzi. More to come.
makamanda mnalala???????????? c'mon msije kutupotezea ushindi dakika za mwisho.nawaomba makamanda wote msilale muwe tayari kugundua mbinu chafu!!!Asante mkuu kwa taarifa.
Kwa makamanda tulio Igunga tupumzike ili tuamke kesho tukiwa na Nguvu za kutosha kwa ajili ya kulinda kura zetu.
Peeeeeeeeeooooooooooooooples...................
i.d.i.o.thahahahahaa,mkuu acha kuwapa watu matumaini hewa chadema washinde igunga???nakunywa tindikali labda wazoe wapiga kura toka arusha kiufupi kama sio ccm basi ni cuf,watz wameamka hawawezi kuongeza wasusia vikao bungeni kiufupi,dhambi ya tindikali kwa yule kijana,na kuudhalilisha uislamu italipwa kesho labda nafasi ya tatu mtashika lakini ubunge sahauni kabisa!
Si mawakala wasimamiziTina ina maana katika mawakala hao na Chadema wamepokea pesa hiyo ? Au hao 20 ni wa wapi ?
Dondoo kutoka kwa chanzo cha habari cha ukweli:
Chai kidogo:
- Mkutano wa Chadema ulikuwa funika mbaya.
- Helikopta iliongoza maandamano. Namaanisha helikopta ilikuwa juu ikienda mwenda wa raia, chini umati wa maelfu ya wananchi wakitembea kutoka afisi za Chadema kuelekea uwanja wa kampeni. Wa Jikoni anasema ilikuwa inaenda kijoti-joti. inastua kidogo, inaganda kidogo, mpaka uwanjani.
- Raia wako tayari kwa mabadiliko na wamejiapiza kuizika CCM kesho.
- Kura zitalindwa kwa gharama yoyote na mkurugenzi wa wilaya ametahadharishwa asijaribu kupindisha ukweli.
- Kura zitahesabiwa kituo kwa kituo, matokeo yakishapatikana, watu wataandamana kwenda ofisi za halmashauri kufanya hesabu za 'milinganyo sahili'.
- Kama hesabu jaitabalansi hapo kwenye (5) na CCM kujitangaza washindi, MOTO utawaka Igunga, Shinyanga, Mwanza, Arusha, Musoma, Dar Es Salaam, na popote ambapo kuna raia wanaotaka mabadiliko ya kweli.
- Polisi waliahidiwa posho za 30 000 kwa siku, lakini wanalipwa 5 000/ kwa siku. Nao hawadanganyiki japo hawawezi kusema hadharan
Mh. Kasulubai(MB) kama mtoto wa Kigoma tu. Amesema CCM wameleta mchawi (mchawi kweli siyo masihara), lakini amewaambia Wana-Igunga kwamba huyo mchawi wao "agwinga ngogo gete bhaseya"
Jamani eeh, mnisamehe kuwacheleweshea updates...Wajikoni anapigiwa simu na watu wengi gafauti gafauti. wakati mwingine anaishiwa chaji.
CCM waacheni Wana-Igunga. Wanataka mabadiliko. Hatutaki kusikia mtu kapigwa risasi kafa tena huko. Mlikubali vyama vingi...sasa tunaomba mfaidi matunda yake, siyo kupiga fita.
Naenda kulala.
Hahahahahaa,mkuu acha kuwapa watu matumaini hewa chadema washinde igunga???nakunywa tindikali labda wazoe wapiga kura toka arusha kiufupi kama sio ccm basi ni cuf,watz wameamka hawawezi kuongeza wasusia vikao bungeni kiufupi,dhambi ya tindikali kwa yule kijana,na kuudhalilisha uislamu italipwa kesho labda nafasi ya tatu mtashika lakini ubunge sahauni kabisa!