hii migawanyiko unataka kuleta ndo hutukwamisha , mtu mweusi anashindwa maliza mada moja analeta nyingine , je unataka tuanze kurebisha haya au tuache kisa hakukuwai kuwa na huduma bora ?Tunajua unachokusudia kusema lakini hakuna wakati wowote kulikuwa huduma nzuri huko maofisini.