Jamani nimetazama gazeti la leo la RAI, kwa kweli linatia kichefuchefu. Hivi hawa waandishi wa Rai wanaupeo unaofaa au kutosha kupewa nafasi ya keweza kutoa habari kwenye gazeti linalosomwa na umma yote ya Tanzania. Kwa kweli hii ni aibu, uchambuzi wa habari zao upo kijuu juu tu na ni kama vile hata editor pia ni mpumbuvu kuruhusu gazeti lake kutoa habari kama hizi.