zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Urgument za kitoto peleka kwenye NEC ya magamba, aliyekwambia lifespan inaongezeka kutokana na vibajaji nani?
Umefikiria suala la usahihi wa takwimu (reliability) hizo, vifo vingapi vinavyotokea vijijini haviripotiwi?? Mara ngapi takwimu zimechakachuliwa kufurahisha wakubwa??
Wakati unafanya inference ya lifespan inatokana na uongozi wa JK impact ya ongezeko la wasomi ambao wanajua umuhimu wa balanced diet na mazoezi uliiexclude vipi??
Tena hiyo ilikuwa ya mwaka 2010 ya mwaka 2011 ya UNDP ni 58.2 Years
Wewe mwenye argument za kikubwa lete data zako zinazokubalika duniani. Nnakuhakikishia huna, roho inauma.