baraka607
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 844
- 165
Habari wakuu, leo ntashare tips za kutengeneza viagra ukiwa umetulia zako nyumban na ukawa unatumia kupigia kazi hamna dunia nzima.
Steps ni kama ifuatavyo:~
1. Nunua tikiti maji na limao zako mbili
2. Katakata tikiti maji vizur na lisage kupata juice yake
3. Chukua kisufuria weka hiyo juice ya tikiti maji na anza kuichemsha
4. Wakati inachemka kamulia limao zako mbili then iache ichemke kwa dakika 5 then itoe na iache ipoe
5. Ihifadhi kwenye kichupa chako kisafi na kila unapokua na game kunywa dakika 15 before game kuanza!
WARNING: Kama una matatizo ya moyo do not drink this!
Basi wakubwa solution ndo hiyo kwa wale ndugu zangu wanaohangaikaga na za dukan mwisho wa siku unaishia kujiua kabisa. Feedback muhimu!
Steps ni kama ifuatavyo:~
1. Nunua tikiti maji na limao zako mbili
2. Katakata tikiti maji vizur na lisage kupata juice yake
3. Chukua kisufuria weka hiyo juice ya tikiti maji na anza kuichemsha
4. Wakati inachemka kamulia limao zako mbili then iache ichemke kwa dakika 5 then itoe na iache ipoe
5. Ihifadhi kwenye kichupa chako kisafi na kila unapokua na game kunywa dakika 15 before game kuanza!
WARNING: Kama una matatizo ya moyo do not drink this!
Basi wakubwa solution ndo hiyo kwa wale ndugu zangu wanaohangaikaga na za dukan mwisho wa siku unaishia kujiua kabisa. Feedback muhimu!