Daah hilo tikiti maji lina manufaa sana hata kwa wale wanaochana shuka kisa miguu yao inachana shuka ukishakula lile tikiti chukua lile ganda sugua maeneo ya miguu ambao ni sugu basi ukiendelea hivi ile sugu yote inakwisha.....sio mwanamke unamgusa mume shurti unamuumiza bibi na magamba...fanyien kazi hii akina dadazz ili kudumisha ndoa...
Hii yooøoote, kisa kumlidhisha mwanamke!!! Hivi, hawa wadada/mama wanajua jinsi wanaume wanahangaika juu ya k* zao!! Eee mola tunusuru!! However, pamoja na yote ya docta mtoa mada, usisahau kuwa PSYCHOLOGY NDO INA MATA! Uki-percieve inferiority, kila siku utakuwa mtu wa kubadilisha na kutumia dawa!! Hebu jiamini unaweza, kula msosi wa uhakika, then start to practice! Ilazimishe akili yako usiwahi kumaliza!! Kila kitu kinaendeshwa na ubungo na jinsi unavyojiaminisha!
Hii yooøoote, kisa kumlidhisha mwanamke!!! Hivi, hawa wadada/mama wanajua jinsi wanaume wanahangaika juu ya k* zao!! Eee mola tunusuru!! However, pamoja na yote ya docta mtoa mada, usisahau kuwa PSYCHOLOGY NDO INA MATA! Uki-percieve inferiority, kila siku utakuwa mtu wa kubadilisha na kutumia dawa!! Hebu jiamini unaweza, kula msosi wa uhakika, then start to practice! Ilazimishe akili yako usiwahi kumaliza!! Kila kitu kinaendeshwa na ubungo na jinsi unavyojiaminisha!
Mkuu ungetusaidia kujua mathalani nikichua Tikiti la 1 kg nichanganye na malimao mangapi na huo mchanganyiko uwe umetumika baada ya muda gani.? je kipimo gani mtu atumie? na kipimo kinategemea uzito wa mtu ama laa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.