Tip Master
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 490
- 532
Wapendwa napenda kujuzwa kama kuna yeyote aliye na uzoefu wa kununua vitu online kama vile laptop na ningeomba nipewe na link kama itawezekana. Asanteni naomba kuweka mezani wakuu.
Wapendwa napenda kujuzwa kama kunja yeyote aliye na uzoefu wa kununua vitu online kama vile laptop,na ningeomba nipewe na link kama itawezekana.asanten naomba kuweka mezani wakuu.
apple store unanunulia ktk web yahoo. dell, Toshiba, Samsung pia ukiwa unataka brand new.
malipo yote kwa visa/master card so make sure unayo. also ukitaka used need to be care. kuna wezi wanaweza kua wanakomba hela yako kila siku.
Wapendwa napenda kujuzwa kama kunja yeyote aliye na uzoefu wa kununua vitu online kama vile laptop,na ningeomba nipewe na link kama itawezekana.asanten naomba kuweka mezani wakuu.
Upo gizani wwOnline online 4 what purpose, Hvi kuna ki2 kinakosekana KARIAKOO?? Au hyo MASTER CARD ndo inakupa kiburi.