Mjomba Nchumari
Member
- Jul 30, 2022
- 17
- 19
Habari za kazi wakuu !!
Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa uhai na kuendeleza harakati za maisha, niko hapa kutafuta mtu aliye serious tufanye biashara ya Online Media. Mimi nina uzoefu wa miaka 5 kufanya kazi hizi ninaweza kuendesha (manage) page zote kuanzia Facebook, YouTube, Instagram, Twitter kwa kuzilisha content hadi kitu kikawa kikubwa na utashangaa.
Hapa nilipo nina Channel ya YouTube tayari imefikisha vigezo vya kuanza kupokea matangazo ambayo akipatikana mtu ndiyo itakuwa source yetu namba moja ya kipato wakati tukijiestablish kwenye page zingine. Hata kama huyo partner asipohusika katika kazi mimi nitasimamia 100 kwa sababu nina passion na ndiyo kazi niliyosomea nakuhakikishia hakitaharibika kitu.
Kwa kuanzia atasaidia kununua Kamera, Laptop, MiFi kwa ajili ya Internet na Recording Kit kwa ajili ya kurekodia sauti kwa ubora, ambayo gharama yake ni around Milioni 6. Malengo yangu ni kuifikisha brand kwenye ukubwa zaidi Tanzania na nimedhamiria ila nakwama mtaji ndiyo maana natafuta mtu wa kushirikiana naye.
Mtu aliye serious na hii project anicheki kwa 0683535699 WhatsApp au piga simu!!
Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa uhai na kuendeleza harakati za maisha, niko hapa kutafuta mtu aliye serious tufanye biashara ya Online Media. Mimi nina uzoefu wa miaka 5 kufanya kazi hizi ninaweza kuendesha (manage) page zote kuanzia Facebook, YouTube, Instagram, Twitter kwa kuzilisha content hadi kitu kikawa kikubwa na utashangaa.
Hapa nilipo nina Channel ya YouTube tayari imefikisha vigezo vya kuanza kupokea matangazo ambayo akipatikana mtu ndiyo itakuwa source yetu namba moja ya kipato wakati tukijiestablish kwenye page zingine. Hata kama huyo partner asipohusika katika kazi mimi nitasimamia 100 kwa sababu nina passion na ndiyo kazi niliyosomea nakuhakikishia hakitaharibika kitu.
Kwa kuanzia atasaidia kununua Kamera, Laptop, MiFi kwa ajili ya Internet na Recording Kit kwa ajili ya kurekodia sauti kwa ubora, ambayo gharama yake ni around Milioni 6. Malengo yangu ni kuifikisha brand kwenye ukubwa zaidi Tanzania na nimedhamiria ila nakwama mtaji ndiyo maana natafuta mtu wa kushirikiana naye.
Mtu aliye serious na hii project anicheki kwa 0683535699 WhatsApp au piga simu!!