fazaa
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 2,984
- 1,026
Na wakafuata yale waliyozua Mashaytwaan kuuzulia ufalme wa Sulaymaan. Na wala Sulaymaan hakukufuru, bali Mashaytwaan ndio waliokufuru, wakiwafundisha watu uchawi, na yaliyoteremshwa kwa Malaika wawili, Haaruta na Maaruta katika Baabil. Wala hao hawakumfundisha yeyote mpaka wamwambie: Hakika sisi ni mtihani; basi usikufuru. Wakajifunza kwa hao wawili yale ya kumfarikisha mtu na mkewe. Wala hawawezi kumdhuru mtu ila kwa kutaka Allaah. Na wanajifunza yatayo wadhuru wala hayawanufaishi. Na hakika wanajua kwamba aliye khiari haya hatakuwa na fungu lolote katika Akhera. Na hakika ni kiovu mno walichojiuzia nafsi zao laiti wangelijua.(al-Baqarah [2]: 102).Fazaa hebu tuwekee na maandiko ya kiswahili wengi tuelewe
nimeipenda verse yako
cha msingi ni kuwa na imani na uchaji mda wote