Nimeona story ya Beka ya mahari milioni 22. Nawapa experience yangu nilivyobargain na wakwe zangu, vijana jifunzeni

Teslarati

JF-Expert Member
Nov 21, 2019
1,728
6,792
Iko hivi, kwanza niweke kitu kimoja sawa. Mwanza nzima nadhani nipo kwenye 100 bora za wanaume wanaomiliki pisi kali mule mjini. Haya tuendelee na story

Miaka imepita nilikutana na binti ndo ameanza mwaka wa kwanza pale SAUTI, ninahofia alikua ni classmate wa GENTA. Alikua na uarabu fln kwa mbali saana ila cha kushangaza wazazi wote ni wasukuma (inatokea sana hii mwanza na shinyanga)

Nikimtongoza akakataa mara ya kwanza lkn siku moja alikua na shida akanitafuta nikamuelekeza geton kwangu akaijia hela. Weekend ilofuata alinitunuku tunda yeye mwenyewe. Kuanzia hapo tukawa wapenzi.

Sasa bwana yule binti ile anataka kumaliza mwaka wa mwisho si nikagundua ana mimba. Akamaliza mimba ikiwa na miezi miwili, moja kwa moja hakurudi kwao akawa anakaa kwangu akawadanganya wazazi wake amepata internship na anakaa kwa rafiki yake sababu huko kwao ni nje ya mji.

Bwana bwana, mimba ikazidi kukua na nikaongea na mshikaji wangu mmoja akasema bora nisurrender tu nimpeleke kwao akalelee ile mimba kule.

Nikajitoa akili nikamlazimisha binti japo alikua anaogopa sana. Tukaenda kwao wanashangaa kumuona na kitumbo ila kizuri tulienda na gari binafsi,gari haikua yangu ilikua ya huyo mchizi wangu. Tukaingia pale sisi tumevaa smart kama tunaenda kutoa posa vile na binti kavaa nguo nzuri tu zile za wamama wajawazito.

Tukakaribishwa, yule mshikaji wangu ndo akawa kama wakili wangu (ofcourse jamaa ni wakili by proffession) kwa hio akasimulia msala wote pale ila kwa akili sana. Tukawaahidi wazazi wa binti kwamba binti akijifungua mm nitakuja kutoa mahali ndo nimchukue yy na mtoto. Walizingua sana ila wakawa hawana jinsi, tukatoa vihela kdg pale tukasepa zetu.


Sasa binti si akajifungua kakaa pale hadi mtoto akawa na miezi 7 kuelekea 8 hv wazazj wake wakaanza kunisumbua nimuijie. Basi nikajua wanataka mahari tu, nikajipanga na jamaa yangu tukaenda.

Aisee ile tumefika pale yule mzee si akasema eti mahari na faini tulipe millioni 15 na ng'ombe wawili. Hapo bado zawadi za mama mkwe. Tukaandikiwa nakumbuka ngoma ili-net 20m plus

Ikabidi tuombe faragha mm na jamaa yangu tukadiscuss. Nikaenda pembeni nikamwambia yule jamaa yangu akae kimya nitacheza hilo goma langu mwenyewe.

Nikarudi nikawakalisha wale wazazi kitako mbele ya binti yao, nikaanza kuwauliza maswali.

Hivi nyinyi huyu binti kipindi anasoma mnajua nani alikua anawasaidia kutatua shida zake ndgndg?

Nakumbuka alishawah kuzuiliwa kufanya mtihani sababu ya malipo fln ila mm nikalipia, mnajua ile hela nilitoa wp?

Mnaona anatumua simu nzuri anapendeza mnadhan alikua anafanya kazi? Hayo yote nilikua nahudumia mm.

Kuna kipindi alikua anampelekea mama ake zawadi akitoka hostel, nikawauliza hio hela ya zawadi alizokua anawaletea mnajua aliitoa wap kama sio kwangu? Kwanza hapo mjadala wa zawadi za mama mkwe ukawa umemalizwa.?

Niliongea sana lakini nilibargain na wale wazee hadi millioni 1 na ng'ombe mmoja. Wakwe zangu hadi leo hawana hamu na mm, na wananiogopa balaa.

Vijana jisimamieni, utoe mahari kubwa bado umehudumia na unaenda kuendelea kuhudumia. Na kama umeshamzalisha huyo binti hata aftatu inatosha sababu wazazi wake walishindwa kumpa malezi mazuri.
 
Iko hivi, kwanza niweke kitu kimoja sawa. Mwanza nzima nadhani nipo kwenye 100 bora za wanaume wanaomiliki pisi kali mule mjini. Haya tuendelee na story

Miaka imepita nilikutana na binti ndo ameanza mwaka wa kwanza pale SAUTI, ninahofia alikua ni classmate wa GENTA. Alikua na uarabu fln kwa mbali saana ila cha kushangaza wazazi wote ni wasukuma (inatokea sana hii mwanza na shinyanga)

Nikimtongoza akakataa mara ya kwanza lkn siku moja alikua na shida akanitafuta nikamuelekeza geton kwangu akaijia hela. Weekend ilofuata alinitunuku tunda yeye mwenyewe. Kuanzia hapo tukawa wapenzi.

Sasa bwana yule binti ile anataka kumaliza mwaka wa mwisho si nikagundua ana mimba. Akamaliza mimba ikiwa na miezi miwili, moja kwa moja hakurudi kwao akawa anakaa kwangu akawadanganya wazazi wake amepata internship na anakaa kwa rafiki yake sababu huko kwao ni nje ya mji.

Bwana bwana, mimba ikazidi kukua na nikaongea na mshikaji wangu mmoja akasema bora nisurrender tu nimpeleke kwao akalelee ile mimba kule.

Nikajitoa akili nikamlazimisha binti japo alikua anaogopa sana. Tukaenda kwao wanashangaa kumuona na kitumbo ila kizuri tulienda na gari binafsi,gari haikua yangu ilikua ya huyo mchizi wangu. Tukaingia pale sisi tumevaa smart kama tunaenda kutoa posa vile na binti kavaa nguo nzuri tu zile za wamama wajawazito.

Tukakaribishwa, yule mshikaji wangu ndo akawa kama wakili wangu (ofcourse jamaa ni wakili by proffession) kwa hio akasimulia msala wote pale ila kwa akili sana. Tukawaahidi wazazi wa binti kwamba binti akijifungua mm nitakuja kutoa mahali ndo nimchukue yy na mtoto. Walizingua sana ila wakawa hawana jinsi, tukatoa vihela kdg pale tukasepa zetu.


Sasa binti si akajifungua kakaa pale hadi mtoto akawa na miezi 7 kuelekea 8 hv wazazj wake wakaanza kunisumbua nimuijie. Basi nikajua wanataka mahari tu, nikajipanga na jamaa yangu tukaenda.

Aisee ile tumefika pale yule mzee si akasema eti mahari na faini tulipe millioni 15 na ng'ombe wawili. Hapo bado zawadi za mama mkwe. Tukaandikiwa nakumbuka ngoma ili-net 20m plus

Ikabidi tuombe faragha mm na jamaa yangu tukadiscuss. Nikaenda pembeni nikamwambia yule jamaa yangu akae kimya nitacheza hilo goma langu mwenyewe.

Nikarudi nikawakalisha wale wazazi kitako mbele ya binti yao, nikaanza kuwauliza maswali.

Hivi nyinyi huyu binti kipindi anasoma mnajua nani alikua anawasaidia kutatua shida zake ndgndg?

Nakumbuka alishawah kuzuiliwa kufanya mtihani sababu ya malipo fln ila mm nikalipia, mnajua ile hela nilitoa wp?

Mnaona anatumua simu nzuri anapendeza mnadhan alikua anafanya kazi? Hayo yote nilikua nahudumia mm.

Kuna kipindi alikua anampelekea mama ake zawadi akitoka hostel, nikawauliza hio hela ya zawadi alizokua anawaletea mnajua aliitoa wap kama sio kwangu? Kwanza hapo mjadala wa zawadi za mama mkwe ukawa umemalizwa.?

Niliongea sana lakini nilibargain na wale wazee hadi millioni 1 na ng'ombe mmoja. Wakwe zangu hadi leo hawana hamu na mm, na wananiogopa balaa.

Vijana jisimamieni, utoe mahari kubwa bado umehudumia na unaenda kuendelea kuhudumia. Na kama umeshamzalisha huyo binti hata aftatu inatosha sababu wazazi wake walishindwa kumpa malezi mazuri.
duuuh pole sana mahari ni kinyume na haki za binadam...by mm human right watvher ..kutoka mbagala.😂🤣😅😆
 
Iko hivi, kwanza niweke kitu kimoja sawa. Mwanza nzima nadhani nipo kwenye 100 bora za wanaume wanaomiliki pisi kali mule mjini. Haya tuendelee na story

Miaka imepita nilikutana na binti ndo ameanza mwaka wa kwanza pale SAUTI, ninahofia alikua ni classmate wa GENTA. Alikua na uarabu fln kwa mbali saana ila cha kushangaza wazazi wote ni wasukuma (inatokea sana hii mwanza na shinyanga)

Nikimtongoza akakataa mara ya kwanza lkn siku moja alikua na shida akanitafuta nikamuelekeza geton kwangu akaijia hela. Weekend ilofuata alinitunuku tunda yeye mwenyewe. Kuanzia hapo tukawa wapenzi.

Sasa bwana yule binti ile anataka kumaliza mwaka wa mwisho si nikagundua ana mimba. Akamaliza mimba ikiwa na miezi miwili, moja kwa moja hakurudi kwao akawa anakaa kwangu akawadanganya wazazi wake amepata internship na anakaa kwa rafiki yake sababu huko kwao ni nje ya mji.

Bwana bwana, mimba ikazidi kukua na nikaongea na mshikaji wangu mmoja akasema bora nisurrender tu nimpeleke kwao akalelee ile mimba kule.

Nikajitoa akili nikamlazimisha binti japo alikua anaogopa sana. Tukaenda kwao wanashangaa kumuona na kitumbo ila kizuri tulienda na gari binafsi,gari haikua yangu ilikua ya huyo mchizi wangu. Tukaingia pale sisi tumevaa smart kama tunaenda kutoa posa vile na binti kavaa nguo nzuri tu zile za wamama wajawazito.

Tukakaribishwa, yule mshikaji wangu ndo akawa kama wakili wangu (ofcourse jamaa ni wakili by proffession) kwa hio akasimulia msala wote pale ila kwa akili sana. Tukawaahidi wazazi wa binti kwamba binti akijifungua mm nitakuja kutoa mahali ndo nimchukue yy na mtoto. Walizingua sana ila wakawa hawana jinsi, tukatoa vihela kdg pale tukasepa zetu.


Sasa binti si akajifungua kakaa pale hadi mtoto akawa na miezi 7 kuelekea 8 hv wazazj wake wakaanza kunisumbua nimuijie. Basi nikajua wanataka mahari tu, nikajipanga na jamaa yangu tukaenda.

Aisee ile tumefika pale yule mzee si akasema eti mahari na faini tulipe millioni 15 na ng'ombe wawili. Hapo bado zawadi za mama mkwe. Tukaandikiwa nakumbuka ngoma ili-net 20m plus

Ikabidi tuombe faragha mm na jamaa yangu tukadiscuss. Nikaenda pembeni nikamwambia yule jamaa yangu akae kimya nitacheza hilo goma langu mwenyewe.

Nikarudi nikawakalisha wale wazazi kitako mbele ya binti yao, nikaanza kuwauliza maswali.

Hivi nyinyi huyu binti kipindi anasoma mnajua nani alikua anawasaidia kutatua shida zake ndgndg?

Nakumbuka alishawah kuzuiliwa kufanya mtihani sababu ya malipo fln ila mm nikalipia, mnajua ile hela nilitoa wp?

Mnaona anatumua simu nzuri anapendeza mnadhan alikua anafanya kazi? Hayo yote nilikua nahudumia mm.

Kuna kipindi alikua anampelekea mama ake zawadi akitoka hostel, nikawauliza hio hela ya zawadi alizokua anawaletea mnajua aliitoa wap kama sio kwangu? Kwanza hapo mjadala wa zawadi za mama mkwe ukawa umemalizwa.?

Niliongea sana lakini nilibargain na wale wazee hadi millioni 1 na ng'ombe mmoja. Wakwe zangu hadi leo hawana hamu na mm, na wananiogopa balaa.

Vijana jisimamieni, utoe mahari kubwa bado umehudumia na unaenda kuendelea kuhudumia. Na kama umeshamzalisha huyo binti hata aftatu inatosha sababu wazazi wake walishindwa kumpa malezi mazuri.
Picha iko wapi ?
 
Kulipa mahari ni kufanya biashara ya utumwa iliyohalalishwa tu.

Unamnunua mwanamke kwa mahari.

Ndiyo maana wanaume wengi wanajiona wana sauti ya kuamrisha, kutesa, kunyanyapaa wanawake, etc.

Kwa sababu wanaona huyu nwanamke nimemlipia mahari.

Ni sawa na ng'ombe niliolipia mahari tu.

Ni bidhaa tu ambayo thamani yake ni sawa na mahari niliyolipa.

Hana utu wa kuwa sawa nami.

Ndiyo maana mimi nimemlipia mahari yeye.
 
Iko hivi, kwanza niweke kitu kimoja sawa. Mwanza nzima nadhani nipo kwenye 100 bora za wanaume wanaomiliki pisi kali mule mjini. Haya tuendelee na story

Miaka imepita nilikutana na binti ndo ameanza mwaka wa kwanza pale SAUTI, ninahofia alikua ni classmate wa GENTA. Alikua na uarabu fln kwa mbali saana ila cha kushangaza wazazi wote ni wasukuma (inatokea sana hii mwanza na shinyanga)

Nikimtongoza akakataa mara ya kwanza lkn siku moja alikua na shida akanitafuta nikamuelekeza geton kwangu akaijia hela. Weekend ilofuata alinitunuku tunda yeye mwenyewe. Kuanzia hapo tukawa wapenzi.

Sasa bwana yule binti ile anataka kumaliza mwaka wa mwisho si nikagundua ana mimba. Akamaliza mimba ikiwa na miezi miwili, moja kwa moja hakurudi kwao akawa anakaa kwangu akawadanganya wazazi wake amepata internship na anakaa kwa rafiki yake sababu huko kwao ni nje ya mji.

Bwana bwana, mimba ikazidi kukua na nikaongea na mshikaji wangu mmoja akasema bora nisurrender tu nimpeleke kwao akalelee ile mimba kule.

Nikajitoa akili nikamlazimisha binti japo alikua anaogopa sana. Tukaenda kwao wanashangaa kumuona na kitumbo ila kizuri tulienda na gari binafsi,gari haikua yangu ilikua ya huyo mchizi wangu. Tukaingia pale sisi tumevaa smart kama tunaenda kutoa posa vile na binti kavaa nguo nzuri tu zile za wamama wajawazito.

Tukakaribishwa, yule mshikaji wangu ndo akawa kama wakili wangu (ofcourse jamaa ni wakili by proffession) kwa hio akasimulia msala wote pale ila kwa akili sana. Tukawaahidi wazazi wa binti kwamba binti akijifungua mm nitakuja kutoa mahali ndo nimchukue yy na mtoto. Walizingua sana ila wakawa hawana jinsi, tukatoa vihela kdg pale tukasepa zetu.


Sasa binti si akajifungua kakaa pale hadi mtoto akawa na miezi 7 kuelekea 8 hv wazazj wake wakaanza kunisumbua nimuijie. Basi nikajua wanataka mahari tu, nikajipanga na jamaa yangu tukaenda.

Aisee ile tumefika pale yule mzee si akasema eti mahari na faini tulipe millioni 15 na ng'ombe wawili. Hapo bado zawadi za mama mkwe. Tukaandikiwa nakumbuka ngoma ili-net 20m plus

Ikabidi tuombe faragha mm na jamaa yangu tukadiscuss. Nikaenda pembeni nikamwambia yule jamaa yangu akae kimya nitacheza hilo goma langu mwenyewe.

Nikarudi nikawakalisha wale wazazi kitako mbele ya binti yao, nikaanza kuwauliza maswali.

Hivi nyinyi huyu binti kipindi anasoma mnajua nani alikua anawasaidia kutatua shida zake ndgndg?

Nakumbuka alishawah kuzuiliwa kufanya mtihani sababu ya malipo fln ila mm nikalipia, mnajua ile hela nilitoa wp?

Mnaona anatumua simu nzuri anapendeza mnadhan alikua anafanya kazi? Hayo yote nilikua nahudumia mm.

Kuna kipindi alikua anampelekea mama ake zawadi akitoka hostel, nikawauliza hio hela ya zawadi alizokua anawaletea mnajua aliitoa wap kama sio kwangu? Kwanza hapo mjadala wa zawadi za mama mkwe ukawa umemalizwa.?

Niliongea sana lakini nilibargain na wale wazee hadi millioni 1 na ng'ombe mmoja. Wakwe zangu hadi leo hawana hamu na mm, na wananiogopa balaa.

Vijana jisimamieni, utoe mahari kubwa bado umehudumia na unaenda kuendelea kuhudumia. Na kama umeshamzalisha huyo binti hata aftatu inatosha sababu wazazi wake walishindwa kumpa malezi mazuri.
Pisi kali kwako kwa mwingine ni garasha. Usije kuwa kama jamaa yangu alikuwa anajifu kuwa ana pisi kali kuja kumuona huyo pisi kali nikabaki kushangaa. Na mbaya zaidi ukishaanza kumsifu kwa watu, na watu wakijua una uhusiano naye wa karibu eg uchumba, mke, hawatakupinga. Tena wataongezea kusifu ila ukiwapa mgongo wanajua wenyewe watakachofanya.
 
Kulipa mahari ni kufanya biashara ya utumwa iliyohalalishwa tu.

Unamnunua mwanamke kwa mahari.

Ndiyo maana wanaume wengi wanajiona wana sauti ya kuamrisha, kutesa, kunyanyapaa wanawake, etc.

Kwa sababu wanaona huyu nwanamke nimemlipia mahari.

Ni sawa na ng'ombe niliolipia mahari tu.

Ni bidhaa tu ambayo thamani yake ni sawa na mahari niliyolipa.

Hana utu wa kuwa sawa nami.

Ndiyo maana mimi nimemlipia mahari yeye.
Wewe ulilipia mahari?

Je utakuja kudai mahari kwa bintiyo?
 
Kulipa mahari ni kufanya biashara ya utumwa iliyohalalishwa tu.

Unamnunua mwanamke kwa mahari.

Ndiyo maana wanaume wengi wanajiona wana sauti ya kuamrisha, kutesa, kunyanyapaa wanawake, etc.

Kwa sababu wanaona huyu nwanamke nimemlipia mahari.

Ni sawa na ng'ombe niliolipia mahari tu.

Ni bidhaa tu ambayo thamani yake ni sawa na mahari niliyolipa.

Hana utu wa kuwa sawa nami.

Ndiyo maana mimi nimemlipia mahari yeye.


Kaka yangu,


Wewe heshimu Mila na destury za babu zetu.

Mzarau Mila ni utumwa. Sisi sio wazungu.

Unaweza usilipe mahari na pia ukawa mnyanyasaji Kwa mke
 
Pisi kali kwako kwa mwingine ni garasha. Usije kuwa kama jamaa yangu alikuwa anajifu kuwa ana pisi kali kuja kumuona huyo pisi kali nikabaki kushangaa. Na mbaya zaidi ukishaanza kumsifu kwa watu, na watu wakijua una uhusiano naye wa karibu eg uchumba, mke, hawatakupinga. Tena wataongezea kusifu ila ukiwapa mgongo wanajua wenyewe watakachofanya.
Sasa ww umeenda nnje ya mada ukakomaa kukosoa kibwagizo, anyway ile pisi ni kali jomba. Fally ipupa alipokuja mwanza aliwahi kudata pale ikabidi nimshike kiuno wife nisepe
 


Kaka yangu,


Wewe heshimu Mila na destury za babu zetu.

Mzarau Mila ni utumwa. Sisi sio wazungu.

Unaweza usilipe mahari na pia ukawa mnyanyasaji Kwa mke
Tatizo la bwana Kiranga yeye anapinga kila kitu, kuanzia dini, mila hadi historia. Historically wanawake walikua hata hawahesabiwi na ndo linapokuja swala la kuwalipia mahari sababu ni posession. Mm sipingi kulipia mahari bali nasema lipia bei elekezj
 
Iko hivi, kwanza niweke kitu kimoja sawa. Mwanza nzima nadhani nipo kwenye 100 bora za wanaume wanaomiliki pisi kali mule mjini. Haya tuendelee na story

Miaka imepita nilikutana na binti ndo ameanza mwaka wa kwanza pale SAUTI, ninahofia alikua ni classmate wa GENTA. Alikua na uarabu fln kwa mbali saana ila cha kushangaza wazazi wote ni wasukuma (inatokea sana hii mwanza na shinyanga)

Nikimtongoza akakataa mara ya kwanza lkn siku moja alikua na shida akanitafuta nikamuelekeza geton kwangu akaijia hela. Weekend ilofuata alinitunuku tunda yeye mwenyewe. Kuanzia hapo tukawa wapenzi.

Sasa bwana yule binti ile anataka kumaliza mwaka wa mwisho si nikagundua ana mimba. Akamaliza mimba ikiwa na miezi miwili, moja kwa moja hakurudi kwao akawa anakaa kwangu akawadanganya wazazi wake amepata internship na anakaa kwa rafiki yake sababu huko kwao ni nje ya mji.

Bwana bwana, mimba ikazidi kukua na nikaongea na mshikaji wangu mmoja akasema bora nisurrender tu nimpeleke kwao akalelee ile mimba kule.

Nikajitoa akili nikamlazimisha binti japo alikua anaogopa sana. Tukaenda kwao wanashangaa kumuona na kitumbo ila kizuri tulienda na gari binafsi,gari haikua yangu ilikua ya huyo mchizi wangu. Tukaingia pale sisi tumevaa smart kama tunaenda kutoa posa vile na binti kavaa nguo nzuri tu zile za wamama wajawazito.

Tukakaribishwa, yule mshikaji wangu ndo akawa kama wakili wangu (ofcourse jamaa ni wakili by proffession) kwa hio akasimulia msala wote pale ila kwa akili sana. Tukawaahidi wazazi wa binti kwamba binti akijifungua mm nitakuja kutoa mahali ndo nimchukue yy na mtoto. Walizingua sana ila wakawa hawana jinsi, tukatoa vihela kdg pale tukasepa zetu.


Sasa binti si akajifungua kakaa pale hadi mtoto akawa na miezi 7 kuelekea 8 hv wazazj wake wakaanza kunisumbua nimuijie. Basi nikajua wanataka mahari tu, nikajipanga na jamaa yangu tukaenda.

Aisee ile tumefika pale yule mzee si akasema eti mahari na faini tulipe millioni 15 na ng'ombe wawili. Hapo bado zawadi za mama mkwe. Tukaandikiwa nakumbuka ngoma ili-net 20m plus

Ikabidi tuombe faragha mm na jamaa yangu tukadiscuss. Nikaenda pembeni nikamwambia yule jamaa yangu akae kimya nitacheza hilo goma langu mwenyewe.

Nikarudi nikawakalisha wale wazazi kitako mbele ya binti yao, nikaanza kuwauliza maswali.

Hivi nyinyi huyu binti kipindi anasoma mnajua nani alikua anawasaidia kutatua shida zake ndgndg?

Nakumbuka alishawah kuzuiliwa kufanya mtihani sababu ya malipo fln ila mm nikalipia, mnajua ile hela nilitoa wp?

Mnaona anatumua simu nzuri anapendeza mnadhan alikua anafanya kazi? Hayo yote nilikua nahudumia mm.

Kuna kipindi alikua anampelekea mama ake zawadi akitoka hostel, nikawauliza hio hela ya zawadi alizokua anawaletea mnajua aliitoa wap kama sio kwangu? Kwanza hapo mjadala wa zawadi za mama mkwe ukawa umemalizwa.?

Niliongea sana lakini nilibargain na wale wazee hadi millioni 1 na ng'ombe mmoja. Wakwe zangu hadi leo hawana hamu na mm, na wananiogopa balaa.

Vijana jisimamieni, utoe mahari kubwa bado umehudumia na unaenda kuendelea kuhudumia. Na kama umeshamzalisha huyo binti hata aftatu inatosha sababu wazazi wake walishindwa kumpa malezi mazuri.
hapo kwenye aftatu loo,umeua mkuu
 
Back
Top Bottom