Wanajamvi habarini na kheri ya mwaka mpya.
Bila kupoteza mda, mwanzoni mwa mwaka jana nilikutana na binti mmoja age ya 21 had 23 hivi. Katika harakati za kazi yule binti akaonesha kunielewa sana, kama tunavojijua baadhi ya wanaume na udhaifu mwingi, kondoo ikijileta tu hua hatujiulizi mara mbili basi nikapita nae.
Kama baada ya mwez akanambia ana ujauzito wangu. Kumwambia atoe nikaogopa basi nikamuacha hadi last week (december) akajifungua.
Binti anataka nimuoe kiukweli mimi sikua na mpango nae hata kidogo. Na toka kipindi najuana nae nilimwambia kwel kua mi sina future nae coz nko na mahusiano mengine, but nilikua namsapoti kwa kila stage hadi anajifungua.
Changamoto ni kwamba mi naishi Dodoma kikazi na mchumba wangu Ambae niko serious nae yuko Dar.
Naombeni experience kwenye hii issue
Bila kupoteza mda, mwanzoni mwa mwaka jana nilikutana na binti mmoja age ya 21 had 23 hivi. Katika harakati za kazi yule binti akaonesha kunielewa sana, kama tunavojijua baadhi ya wanaume na udhaifu mwingi, kondoo ikijileta tu hua hatujiulizi mara mbili basi nikapita nae.
Kama baada ya mwez akanambia ana ujauzito wangu. Kumwambia atoe nikaogopa basi nikamuacha hadi last week (december) akajifungua.
Binti anataka nimuoe kiukweli mimi sikua na mpango nae hata kidogo. Na toka kipindi najuana nae nilimwambia kwel kua mi sina future nae coz nko na mahusiano mengine, but nilikua namsapoti kwa kila stage hadi anajifungua.
Changamoto ni kwamba mi naishi Dodoma kikazi na mchumba wangu Ambae niko serious nae yuko Dar.
Naombeni experience kwenye hii issue