Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,021
Rais amewai kutoa jambo gani lililo wafurahisha waislam na kupigwa vijembe na maaskofu??? Itapendeza great thinkers tukijadili jambo kwa facts na credible source. Taja tarehe,siku na mahali ilipotolewa hotuba hiyo iliyowafurahisha waislam na maskoofu wakaipiga vijembe bwana mdogo.Haya ndio matatizo yetu watanzania pamoja na viongozi wetu kila kitu mpaka upande mwingine ufanyareact.
Rais akiongea jambo litakalowapendeza Wakristu Mashekh wanatoa tamko na kipiga vijembe, Rais akiongea jambo litalowapendeza Waislam Maaskofu nao wanatoa tamko la kupiga vijembe.
Hii tabia naona inazidi kushika kasi na sijui nani kaileta