Frank elirumisha
Member
- Aug 9, 2023
- 20
- 21
Kwanini wengi wa wachangiaji wamepinga mswada kama wawakilishi wa Taasisi za Kidini, wakristo na waislamu wote wanapinga.
Kwa ushahidi uliowazi wawakilishi wa taasisi za kijamii na zenyewe zinapinga.
Je, Uchaguzi utakaofanyika 2025 wananchi watakuwa na Imani na tume ya Uchaguzi kwa kuwa wamepata elimu ya kutosha kuwa tume sio huru hasa suala la wakurugeni kuonekana ni wateule wa rahisi.
Je, bunge hili linaweza kutunususu kipindi hiki baada kuona walichofanya kwenye DP World jadili tuone tunatoka vipi kipindi kigumu?
Kwa ushahidi uliowazi wawakilishi wa taasisi za kijamii na zenyewe zinapinga.
Je, Uchaguzi utakaofanyika 2025 wananchi watakuwa na Imani na tume ya Uchaguzi kwa kuwa wamepata elimu ya kutosha kuwa tume sio huru hasa suala la wakurugeni kuonekana ni wateule wa rahisi.
Je, bunge hili linaweza kutunususu kipindi hiki baada kuona walichofanya kwenye DP World jadili tuone tunatoka vipi kipindi kigumu?