Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
Rais ameshauri tuwaepuke wanasiasa wanaoleta chokochoko ili wakifuatiliwa na vyombo vya dola, wakimbilie katika Jumuiya ya kimataifa. Pia ametuasa tuchape kazi na tusikalie POLITIKI. Kazi kwanza, politiki baadae. Zaidi ya yote ameahidi kufungua rasmi mjadala wa katiba. Inaonesha huyu jamaa amekomaa na kuiva kisiasa. Anaijua jamii yake inataka nini na kwa muda gani. LONG LIVE JAKAYA
La muhimu ni Katiba mpya, hayo ya fujo ni kuogopa kivuli cha Dr wa ukweli, Slaa!