Samahani kama nimekukwaza ndugu. Hebu tuendelee na mada bila kuchoka,kwani ndio kwanza ngoma iko kilingeni. Je Mnyika na hoja yake Bungeni ina haja ya kusikilizwa?
mimi naona aina haja tena kwa sababu mzee mkwere kamaliza kila kitu au mnaonaje alafu nimehis kitu kikwete anaweza tufanyia mambo hasa kwenye katiba