daaah.......!
kiukweli nina furaha. nina furaha ya ajabu.
nimewapenda sna wameru. Hongera Joshua, hongera meru, hongera chadema, hongereni wana mapinduzi.
naipenda sana hii nchi. nawapenda sana wanaoipenda hii nchi.
Mungu aibariki nchi yetu.
Hawa wanajua madhambi waliyofanya hivyo wanaogopa sana mabadiliko kibao kisijegeuka. Wala hawajatumwa ni kujipendekeza kwao kulinda ufisadi walio-engineer.Hkika hakuna cha kuipinga nguvu ya uma! wamesemea sana na wakamptozea muda mzee mkapa, wakamleta lowasa, lakin hatimaye MUNGU AMEBAKI KUWA MUNGU NA SAUTI YAWATU NI SAUTI YA MUNGU...................
Hii ni salamu kwa wataznia wote waliologwa kwa sera za magamba.
CHADEMA NDO TEGEMEO LETU....HAKUNA WA KULIPINGA HILI....WATASEMA SANA LAKINI watu wanatukubali
PEOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOPLEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEES POWER!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hongera Nassari. sasa ukatafute suti kwa ajili ya kuapishwa. Siku utapoapishwa hakika WaTZ wote wataangalia kipindi cha bunge.
Ukiweza, uvae lile rubega la kimeru na uwe na kile kifimbo chako.
Mwisho - huu ushindi uwe ndiyo mwanzo wa kazi. Wananchi wa Arumeru wanategemea mengi kutoka kwako
I hate your nameOne day yes!!!!!!
One day yes!!!!!!
Ukweli ni kwamba jamaa wametumia pesa mingi sana,,,,lakini wapi bana wameru sio wa kawaida..kauli mbiu ilikuwa,,'TUNAKULA CCM TUNALALA CDM' magamba kwishney..