ameanza kwa kumtaja mungu kuwa walianza na Mungu na sasa wamemaliza na Mungu, wako waliomtukana kuwa hajaoa lakini wameru wakampa kura kwa kuwa haendi kusuluhisha kesi za ndoa, wako waliosema yeye ni maskini lakini wameru wamempa kura maskini mwenzao, wako waliohonga sana, lakini wameru wameamua kuchagua haki ....angalia TBC live