Thecontingent999
New Member
- Mar 20, 2024
- 2
- 0
Habari.
Kuna rafiki yangu mmoja amemaliza internship ya udaktari mwaka jana katika hospitali ya rufaa ya Morogoro na kabla ya wao kumaliza hospitali iliomba watu kumi waandike barua kwa ajili ya kujitolea na wakaiita (post intern attachment).
Kwa kawaida watu wanapochaguliwa kujitolea huwa wanapewa hela kama mshahara ambao unaendana na muongozo wa serikali na serikali huwa inawatambua kwasababu ndo watu inawatumia siku hizi katika sekta ya afya kuliko kuajiri watu.
Muongozo huwa unasema walipwe Tsh. 690,000 kila mwezi na huku wakipewa hela za extra duties na night calls kama waliyo wengine.
Lakini kwa vijana hawa ambao ni madaktari wanalipwa Tsh. 420,000 kwa mwezi bila hizo hela zingine na maisha yao yamekuwa magumu sana haki.
Wamejaribu kuomba kwa viongozi angalau kama wanapewa hela ndogo hivyo basi wapewa za extraduties na night calls lakini uongozi umekataa kabisa kufanya hivyo.
Wanaomba Ummy Mwalimu awasaidie maana wanapitia wakati mgumu sana huku wao ndo wanaotumika sana kwenye hospitali ile kuliko hata waajiriwa.
Kuna rafiki yangu mmoja amemaliza internship ya udaktari mwaka jana katika hospitali ya rufaa ya Morogoro na kabla ya wao kumaliza hospitali iliomba watu kumi waandike barua kwa ajili ya kujitolea na wakaiita (post intern attachment).
Kwa kawaida watu wanapochaguliwa kujitolea huwa wanapewa hela kama mshahara ambao unaendana na muongozo wa serikali na serikali huwa inawatambua kwasababu ndo watu inawatumia siku hizi katika sekta ya afya kuliko kuajiri watu.
Muongozo huwa unasema walipwe Tsh. 690,000 kila mwezi na huku wakipewa hela za extra duties na night calls kama waliyo wengine.
Lakini kwa vijana hawa ambao ni madaktari wanalipwa Tsh. 420,000 kwa mwezi bila hizo hela zingine na maisha yao yamekuwa magumu sana haki.
Wamejaribu kuomba kwa viongozi angalau kama wanapewa hela ndogo hivyo basi wapewa za extraduties na night calls lakini uongozi umekataa kabisa kufanya hivyo.
Wanaomba Ummy Mwalimu awasaidie maana wanapitia wakati mgumu sana huku wao ndo wanaotumika sana kwenye hospitali ile kuliko hata waajiriwa.