Ludovick Mwijage
Member
- Jan 1, 2010
- 42
- 27
Katika demokrasia ya kikatiba kuna kile kinachofahamika kama Penal Proportionality ambapo adhabu hupashwa ilingane na kosa linalodaiwa kutendeka. Kwa hiyo, inashangaza kwamba mtu anayedaiwa kupokea rushwa ya Tsh 100.000 anaweza kupata adhabu sawa na Afisa Mwandamizi wa benki (BoT), aliyehusika katika kashfa ya ujenzi wa minara-pacha ya benki hiyo na ambapo mamilioni ya fedha yalikwapuliwa. Hali hii inaeleza nini?
Pole sana Ndugu Musendo na wanataaluma wengine mliopata misukasuko ya namna hii katika utendaji wa majukumu yenu. Ingelikuwa vizuri kujua kama Ndugu Msendo ameisha mudu ku patch up maisha yake upya, baada ya jinamizi la kuwa jela miaka yote hiyo kwa mashtaka ya kughushi.
Ludovick S Mwijage
ludovick.mwijage@gmail.com
+ 45 50 29 04 27 (kiganja)
Pole sana Ndugu Musendo na wanataaluma wengine mliopata misukasuko ya namna hii katika utendaji wa majukumu yenu. Ingelikuwa vizuri kujua kama Ndugu Msendo ameisha mudu ku patch up maisha yake upya, baada ya jinamizi la kuwa jela miaka yote hiyo kwa mashtaka ya kughushi.
Ludovick S Mwijage
ludovick.mwijage@gmail.com
+ 45 50 29 04 27 (kiganja)
By the way huyu Bw. Musendo yuko wapi kwa saas na anafanya nini? Any update plz