johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,131
Mchungaji Joshua amesema Yeye na Lengai walikuwa Jela pamoja na Ole Sabaya amewasaidia Wafungwa walioonewa kuachiwa Huru baada ya kuwaandikia Rufaa
Sabaya alipongezwa na Jaji kwa kuwaandikia Rufaa Wafungwa walioonewa, amesema Mchungaji
Sabaya alipongezwa na Jaji kwa kuwaandikia Rufaa Wafungwa walioonewa, amesema Mchungaji