Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,843
Wakuu watu wangapi iwa tunashuhudia wanabambikiwa kesi??Mbona mnataka kuleta mijada isiyo ya lazima tunaona watu wanabambikiwa bangi mfukoni na polisi kesi kibao za kubambikiwa.........cha mhimu hapa tufanyaje kumkoma Hosea aliye mwalibia maisha Zephania ...huku yeye akipeta.Hivi na kwa nini hili swala la huyu mwandishi halipewi uzito wa aina yake naona vyombo vya habari vimekaa kimyaaaaaa....
Kwa ufupi msicheze na Hosea!!! Ni Mafia ni hatari!!!! Pamoja na yote mnayolaumu huyu mwandishi but Hosea alijua anachokifanya!!! Na for sure ni case iliyotengenezwa.
Kwa taarifa ni kwamba Hosea as among the Fisadi's in the list of shame na wale wote waliotajwa kuwa mafisadi kwenye vyombo vingi vya habari wako katika mpango mzito sana wa kuwatafutia kesi owners of the media houses and their editiors. So please, kwa wewe unayeitwa mwandishi wa habari au owener au kama umewahi kutoa habari mbaya za fisadi kaa chonjo sana. They are plannig for a remarkable revenge. Take it from me.
Do not accept the so called cheap invitations!!!! Always ishi kimachale machale hasa pale ambapo unajua unafanya kazi ya kugusa binadamu mwingine ambayo ni sensitive kama issues zote za ufisadi and the like.
Pia kuwa makini na wale wanaokuzunguka ikiwemo marafiki. Fisadi huwa anatunia mbinu nyingi kwa sababu ana pesa. Na fahamu pesa ni kishawishi kikubwa sana kwani wengi wetu tuna mahitaji mengi na pesa yetu ya halali haitoshelezi. Be blessed and take care.