Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,549
- 2,989
Demokrasia imetutupatia machaguzi mengi ila tunahitaji kufanya au kuchukua uamuzi ambao ni busara zetu pekee zinaweza kuamua mustakabali wa jamii yetu kwa sasa na hata kwa baadae Siasa ni maamuzi ya kisera ambayo yanayojumuisha uchumi,jamii na utamaduni hivyo kwenye siasa ndio uwanja pekee unaotufanya wakazi au wananchi kubaki salama katika nchi yetu ili kuendelea na maisha mengine.
Ni miongo kadhaa kupita tangu uhuru wa nchi za kiafrika kutoka kwenye makucha ya wabepari ,ni miaka 47 imepita toka chama cha mapinduzi kimeitawala Taifa la TANZANIA,ndani ya miaka hiyo tumeshuhudia tawala 6 za uongozi chini ya chama kimoja yapo mengi yameanzishwa na kuendelezwa kwenye nchi hii ila kwa uchache MAGEUZI YA KILIMO,VIWANDA NA SEKTA YA USAFIRISHAJI ni sehemu kubwa ambayo chama cha CCM kimejaribu kutumia nguvu kubwa ya kiutendaji ili kuifungua nchi,upande wa HUDUMA ZA KIJAMII ikiwemo elimu na afya tumepiga hatua kubwa kwa kiasi fulani ingawaje bado changamoto bado ni kubwa mno.
MWISHO
Maendeleo ni mchakato wa muda mrefu ila ili kuleta tija ya maendeleo ni muhimu kutoa fursa kwa kila mmoja kushiriki kwa namna ya tofauti.
Ni miongo kadhaa kupita tangu uhuru wa nchi za kiafrika kutoka kwenye makucha ya wabepari ,ni miaka 47 imepita toka chama cha mapinduzi kimeitawala Taifa la TANZANIA,ndani ya miaka hiyo tumeshuhudia tawala 6 za uongozi chini ya chama kimoja yapo mengi yameanzishwa na kuendelezwa kwenye nchi hii ila kwa uchache MAGEUZI YA KILIMO,VIWANDA NA SEKTA YA USAFIRISHAJI ni sehemu kubwa ambayo chama cha CCM kimejaribu kutumia nguvu kubwa ya kiutendaji ili kuifungua nchi,upande wa HUDUMA ZA KIJAMII ikiwemo elimu na afya tumepiga hatua kubwa kwa kiasi fulani ingawaje bado changamoto bado ni kubwa mno.
MWISHO
Maendeleo ni mchakato wa muda mrefu ila ili kuleta tija ya maendeleo ni muhimu kutoa fursa kwa kila mmoja kushiriki kwa namna ya tofauti.