Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,556
- 2,994
Stori za mtaani zinasema kwamba Aliyekuwa waziri Mkuu kipindi cha Kikwete na kujiuzulu Marehemu Edward Lowasa Alikuwa ni mmoja wa vijana wenye kutoka familia ya kitajiri na mwenye shauku ya kuongoza nchi,ila kwa bahati mbaya alipitia katika vizingiti viwili akiwa pale CCM moja, Mwalimu Nyerere na Kikwete hivyo ilimlazima Lowasa kutafuta njia nyengine kufikia lengo lake japo hakuweza kutimiza mpaka kufa kwake.
Utaratibu wa kuongozi kutoka familia za kimasikini ni kama desturi kwa Tanzania; kwani tumeshuhudia Marais kadhaa wakitoka familia za kisasikini na kuongoza Taifa hili kwa Mwongo mmoja huku Chama Masikini kama kinavyojinasibu kwenye Bendera Nyundo na Jembe imeliongoza Taifa Tangu uhuru ila kwa bahati mbaya Hatujaweza kuanzisha jambo na Kufikia lengo kwa asilimia 90.
Bahati mbaYA iliyoje,Taifa hili limeingia katika mnyororo huo wa umasikini,sitambui sababu ya Viongozi wetu kuwa Masikini, kauli za viongozi au watendaji/watumishi wanaoajiriwa ni masikini au Tupo kwneye mnyororo wa Utumwa kutokana na hali ya ukoloni ambao tumeshaupita.
Miaka 60 chini ya viongozi masikini hatujafakiwa kwa namna tunayotaka huenda ikawa ni sababu ya kushindwa kwetu?
Utaratibu wa kuongozi kutoka familia za kimasikini ni kama desturi kwa Tanzania; kwani tumeshuhudia Marais kadhaa wakitoka familia za kisasikini na kuongoza Taifa hili kwa Mwongo mmoja huku Chama Masikini kama kinavyojinasibu kwenye Bendera Nyundo na Jembe imeliongoza Taifa Tangu uhuru ila kwa bahati mbaya Hatujaweza kuanzisha jambo na Kufikia lengo kwa asilimia 90.
Bahati mbaYA iliyoje,Taifa hili limeingia katika mnyororo huo wa umasikini,sitambui sababu ya Viongozi wetu kuwa Masikini, kauli za viongozi au watendaji/watumishi wanaoajiriwa ni masikini au Tupo kwneye mnyororo wa Utumwa kutokana na hali ya ukoloni ambao tumeshaupita.
Miaka 60 chini ya viongozi masikini hatujafakiwa kwa namna tunayotaka huenda ikawa ni sababu ya kushindwa kwetu?