Mimi napendekeza katiba mpya iwahimize Waislam kuwapeleka watoto wao shule ili kupunguza ujinga katika jamii !Mbona kuhusu wakristo wanaoshabiki vimini hamusemi? Coz mtoa mada kasema watoa maoni wanatoa hijab zipigwe maarufuku. Lakin hii hamuiyoni bali mumeona wimbo. Semeni basi kama kuna wakristo wanataka hijab maarufuku ili wavae vimini.
Slaa anavuna alichopanda kahamishia kanisa Chadema
Mkuu, ahsante kwa kuileta taarifa kamili.
Kwa ushauri wangu, ili kulinusuru taifa letu tuangalie upya kuwa tunawafundisha nini watoto wetu wakiwa sunday school na madrasa??Fafanua zaidi mkuu. Unafikiri ni lipi lifanyike ili kulinusuru taifa letu na hii sumu hatari?
Ni aghali wewe umeona ukweli.Duuu ila ndugu zetu ni noumaaa yani hadi mwimbo wa taifa upo kikristo ni kweli una'sound kama kwaya za kikristo sasa wanataka uwekwe kikaswida au?
kama vipi utuweke unao'sound kama mchiriku au taarabu