mshana org
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 2,091
- 618
Kwan humjui bwa shem alivyo ndio kampa onyo sa usimtie majaribun mkiva wa watuUmepewa onyo na nani?
Heeee dada madame ndo mtaalamuna mwehMwenzenu nayaogopa maji sijawah kuogelea nifunzeni tu nitazoea
Kwan humjui bwa shem alivyo ndio kampa onyo sa usimtie majaribun mkiva wa watu
Heeee dada madame ndo mtaalamuna mweh
Hihihihiiiiiii watakulipua lipu we haya tuu
Heeee dada madame ndo mtaalamuna mweh
Bora nijihami mapemaaa sitaki kufanywa nyamamie
Sijakutana naye bado namsubiri kwa ham japo pia simjui
Mwambie kweli mdogo wangu.
Nitampigisha mbizi mpaka asalimu amri.
We jisahau ndo utajua kama kweli watu wanapigwa na kanga na kupewa kahawa
Mwambie kweli mdogo wangu.
Nitampigisha mbizi mpaka asalimu amri.
Jamani mwanafunzi anatakiwa apigizwe mbizi taratibu bana kama ndo hivyo nimegairi
Hiiiii baaaaaa kwaliiiii
Hiiiii baaaaaa kwaliiiii
Kwahyo unarudi ulikotoka?
basi we endelea tu kushinda hapa chit chat, sijui nimuite binti au kijana wa kiume, sijui ni babu au bibi...ila ninachojua anajinsia na tupo naye humu humu chit chat we shika tu hilo jina lake
Usiogope,kidogo tu.