mshana org
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 2,091
- 618
hamjambo humu ndani? Nimemkuta babariz wa mtaa huu naombeni munikaribishe hapa kwenu pamenivutia sanaaaaaaaaa.
Karibu sana!
Ukiwa na tatizo lolote la kisheria utaniona!
Warning
usimguse huyu Madame B
kwa utaratibu mwingine wa kukaguliwa kuna mzee anaitwa Aspirin atakuja kukunyia ukaguzi
Ndo hapo ninapokupendea mpenzi wangu.
Hueshi kuwaambia ukweli wageni.
Ila Msosi tayari,uje kula.
Ndo hapo ninapokupendea mpenzi wangu.
Hueshi kuwaambia ukweli wageni.
Ila Msosi tayari,uje kula.
Mwambie Mr. Mbona anawahi kujihami hata hajajua gendar ya mgeni ?
Au ndy abiria pwani ?
Nway mgeni karibu!
Karibu sana!
Ukiwa na tatizo lolote la kisheria utaniona!
Warning
usimguse mtu anayeitwa
* Madame B*
kwa utaratibu mwingine wa kukaguliwa kuna mzee anaitwa Aspirin atakuja kukunyia ukaguzi
Hebu tumia uzoefu wako unifahamishe jinsia yake tafazali.
Karibu,
ila tuambie umetokea nyumba gani,
MMU,MK,HM au STRESS?
Ili tujue jinsi ya kukupokea.
karibu tupo chumbani
Jukwaa la siasa mkuu
karibuuuuuuuuuu mlango uko waziiiii
Mh!
Sasa, huku karibu tukukunjue uso wako baada ya kuukunja kule kwa muda mrefu.
Karibu sana na jisikie uko kwenu.
Me ndo Madame B-receptionist.
Hatutaki kero,
tumepumzika na wangu. Subiri akiamka.
karibu,jisikie uko hm
Hatutaki kero,
tumepumzika na wangu. Subiri akiamka.