saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,173
- 6,157
Kuna chama kinafikia CHADOMO kwa uroho? Mwangalie Makengeza anataka afie madarakani, Zitto wa juzi tu ameshaachia chama. Nyie nyumbu hata miaka 100 hamuwezi kuifikia CCM, sana sana hiyo SACCOSS yenu itakufa muda wowoteMaCCM ni kama mafisi. Hayaaminiani hata kidogo. Walichomfanyia Magufuli, Mungu atawalipa hapa hapa duniani.
Sijawahi kuona majitu maroho na yasiyokuwa na utu kama maCCM. Haya ni majitu ya ovyo sana kuwahi kuwepo hapa ulimwenguni.