Shine JF-Expert Member Feb 5, 2011 11,481 1,364 Feb 23, 2012 #41 Maisha bora kwa kila mtanzania ndo tunazidi kuyapata na bado
King Kong III JF-Expert Member Oct 15, 2010 51,672 68,636 Feb 23, 2012 #42 Kimanzichana said: Click to expand... Hizo Shule wabunge wake wapo kweli? Na wanahudhuria kabisa bungeni na kugonga meza fresh?
Kimanzichana said: Click to expand... Hizo Shule wabunge wake wapo kweli? Na wanahudhuria kabisa bungeni na kugonga meza fresh?
AK-47 JF-Expert Member Nov 12, 2009 1,373 199 Feb 23, 2012 #43 Miaka 50 ya Uhuru Tumejaribu, Tumezembea, Tukashindwa na tunazidi kurudi nyuma
Shine JF-Expert Member Feb 5, 2011 11,481 1,364 Feb 26, 2012 #44 Ndo Tanzania inayozalisha Tanzanite pekee duniani hiyo
MaxShimba JF-Expert Member Apr 11, 2008 35,772 4,054 Mar 21, 2012 Thread starter #46 Kimanzichana said: Click to expand... 2012??!!!!!!!!!!!!!!
Bejajunior Senior Member Sep 19, 2011 192 49 Mar 21, 2012 #47 aleyeguukia huku ndio inakuwaje au ndo la pili...
Mchaka Mchaka JF-Expert Member Jul 20, 2010 4,516 1,404 Mar 21, 2012 #49 Kwa picha hizi,Naona kabisa kila dalili ya machafuko katika nchi hii, amini amini nawaambia..muda si mrefu tutageuzana! Click to expand...
Kwa picha hizi,Naona kabisa kila dalili ya machafuko katika nchi hii, amini amini nawaambia..muda si mrefu tutageuzana! Click to expand...