Hizi ndizo beats kali zilizo tumika sana kwenye vipindi vya radio bongo

Mto Songwe

JF-Expert Member
Jul 17, 2023
6,017
12,308
Kwa wale waliokuwa wapenzi wa kusikiliza vipindi mbalimbali vya radio bongo.

Watakubaliana nami kuwa beats za hizi ngoma za hip hop mbili
- Tatu bila ya Tmk wanaume halisi

na
- Still ya dr dre ft snoop dogg


Ndizo beats zilizo tumika sana kwenye vipindi mbalimbali ndani ya radio za bongo kama background beats.

Kama kuna beats nyengine zilizo umiza kwenye vipindi vya radio bongo zaidi ya hizo mbili zitaje⏬
 
Watangazaji wa radio hasa vipindi vya mchana bila moja wapo ya hizo beats kupigwa mzuka walikuwa wanakosa kabisa.
 
Hiyo ya Dokta Driii...
Aisee, sijui alitungia chooni mbona imekaa sana na bado haijapata mpinzani😬🙌🙌
 
Hiyo ya Dokta Driii...
Aisee, sijui alitungia chooni mbona imekaa sana na bado haijapata mpinzani😬🙌🙌
Beat imekunjwa haswa ndio maana watangazaji walikuwa wanaikubali hata wasanii kwa freestyle
 
Kwa wale waliokuwa wapenzi wa kusikiliza vipindi mbalimbali vya radio bongo.

Watakubaliana nami kuwa beats za hizi ngoma za hip hop mbili
- Tatu bila ya Tmk wanaume halisi
View attachment 2768378
na
- Still ya dr dre ft snoop dogg
View attachment 2768379
View attachment 2768380
Ndizo beats zilizo tumika sana kwenye vipindi mbalimbali ndani ya radio za bongo kama background beats.

Kama kuna beats nyengine zilizo umiza kwenye vipindi vya radio bongo zaidi ya hizo mbili zitaje⏬
Hiyo ya Dr Dre nakumbuka enzi hizo Redio Free na kina Fredwaa na Mr Laki sita Volt siku ya Jmosi kuanzia saa tatu.

Noma sana........nimeshikia kiredioa kidogo na Eria juu nimeivuta.
 
Kuna beat Moja Kali sana inatumikaga kwenye kipindi Cha Amplifier pale Clouds fm hasa kale ka- Fridah kakiwa kanaongea.

Cjui nawezaje kupata ile beat Ni ya Moto 🔥 Sana kiukweli.
 
kuna ile ya captain J.Komba CCM mbele kwa mbele na acha waisome namba. biti zake ni kali sana na zimetumika sana maredioni aise, yaani umeziachaje 🤔
 
Hiyo ya Dr Dre nakumbuka enzi hizo Redio Free na kina Fredwaa na Mr Laki sita Volt siku ya Jmosi kuanzia saa tatu.

Noma sana........nimeshikia kiredioa kidogo na Eria juu nimeivuta.
Sio poa hiyo beat
 
Kwangu Mimi Ile beat ya kwenye kipindi cha "jahazi" pale clouds fm ndo beat Bora kwenye radio show...
R.i.p kibonde
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom