Inasikitisha sana mtu kaoa tena ndoa ya kimungu na kwa heshima kubwa halafu unamkuta kwenye madanguro na mausiku klabu, kikubwa anatafuta malaya na hana ugomvi na mkewe kisa tamaa tu. kuna mana gani ya kuoa halafu unakuwa na tamaa kibao za wanawake wengine, ki ukweli hili linanichefua sana tena sana. wanaJF tuungane kuwashauri wanandoa wenye akili mbovu kama hizi....