mpumbavu wa fikra, masikini wa kuelewa na mjinga kwa matendo yako, wewe kadogoo!
Yes ni watanzania wenye akili timamu na wanaojua kuwa bora zimwi likujualo kuliko zimwi linalolea ukabila na linalo jiongoza kwa ukabila......
Ukiona mtu anashabikia CCM basi ujue yupo kwenye kundi mojawapo kati ya haya:
Kwa hiyo kama ukiona yeyote anashabikia CCM, basi muweke tu kwenye makundi hayo mawili. Bahati mbaya ilioje, hawa watu ni wengi kweli hasa kwenye kundi namba mbili. Yupo tayari kupoteza uhai wa mwenzie ili yeye apate makombo ya kile wanachodondosha mafisadi.
- Ni fisadi wa kutupwa; asiye na hata chembe ya huruma kwa watanzania masikini wanaoteseka na kufa usiku na mchana kwa kukosa huduma mhimu kama binadamu. Mwogopeni sana huyu mtu, na anapaswa kuchukiwa mno kwa kuwa hawa ndio chanzo cha umasikini mkubwa unaoikabili nchi.
- Ni zezeta, ama taahira au mjinga ambaye hakuwahi kuona mlango wa darasa au ni masikini wa kutupwa, limbukeni au mganga njaa na msaliti mkubwa wa jamii yake; huyu muoneeni huruma na msaidieni kwa kumuelimisha kwamba umasikini wake, njaa yake na ujinga wake unaweza kuondoka kwa kufanya mabadiliko katika serikali
Ilikuwa ni heri watu hawa wasingelizaliwa kabisa!
hilo ndo kubwa mkuu!ukiona mtu anashabikia ccm basi ujue yupo kwenye kundi mojawapo kati ya haya:
- ni fisadi wa kutupwa; asiye na hata chembe ya huruma kwa watanzania masikini wanaoteseka na kufa usiku na mchana kwa kukosa huduma mhimu kama binadamu. Mwogopeni sana huyu mtu, na anapaswa kuchukiwa mno kwa kuwa hawa ndio chanzo cha umasikini mkubwa unaoikabili nchi.
- ni zezeta, ama taahira au mjinga ambaye hakuwahi kuona mlango wa darasa au ni masikini wa kutupwa, limbukeni au mganga njaa na msaliti mkubwa wa jamii yake; huyu muoneeni huruma na msaidieni kwa kumuelimisha kwamba umasikini wake, njaa yake na ujinga wake unaweza kuondoka kwa kufanya mabadiliko katika serikali
kwa hiyo kama ukiona yeyote anashabikia ccm, basi muweke tu kwenye makundi hayo mawili. Bahati mbaya ilioje, hawa watu ni wengi kweli hasa kwenye kundi namba mbili. Yupo tayari kupoteza uhai wa mwenzie ili yeye apate makombo ya kile wanachodondosha mafisadi.
Ilikuwa ni heri watu hawa wasingelizaliwa kabisa!
ndo ujue hali mbaya!cha ajabu humu jf wapo wale tunaowafahamu siku zote kama mashabiki wa cuf lakini sasa nao ni ccm.
1. Lukolo;
Leta hoja: hoja inajibiwa kwa hoja na si kwa matusi. Tena wewe unaonekana ni mganga njaa tu. Huna hata aibu, msomi mzima!! Muone kwanza!!
Nawashangaa sana watu kama wewe ambaye umesoma kwa kodi za watanzania halafu leo anawasaliti watanzania kwa maslahi ya mafisadi? Wewe yafaa jiwe la kusagia lifungwe shingoni ukatupwe baharini"
2. "Ni zezeta, ama taahira au mjinga ambaye hakuwahi kuona mlango wa darasa au ni masikini wa kutupwa, limbukeni au mganga njaa na msaliti mkubwa wa jamii yake; huyu muoneeni huruma na msaidieni kwa kumuelimisha kwamba umasikini wake, njaa yake na ujinga wake unaweza kuondoka kwa kufanya mabadiliko katika serikali
3.Pumba!!!!!!!!!!!
Nani ni mtusi hapa?
WANAHAKI YA KUUAMINI WANACHO AMINI. JAPO KWELI WENGI WAMEFUNIKWA KWA BLANKETI ZITO LA AMANI NA UTULIVU. AMANI NA UTULIVU GANI? MWENZIO ANATAMKA BILA HAYA MBELE YA KADAMUNASI. KWELI BILIONI MOJA YA NEW JERSEY NI YANGU NA VIJISENT TU VILE. WAKATI SHINYANGA JIMBO ANALO LIONGOZA WATU HAWAWEZI KUNUNUA SUKARI KILO MOJA KWA MIEZI KADHAA. BILIONI MOJA YEYE NI ROONEY ? RAISI ANAENDA KUMPIGIA KAMPENI VIJISENT NI MTU SAFI!!!!!!!!!!.:doh:Ukiona mtu anashabikia CCM basi ujue yupo kwenye kundi mojawapo kati ya haya:
- Ni fisadi wa kutupwa; asiye na hata chembe ya huruma kwa watanzania masikini wanaoteseka na kufa usiku na mchana kwa kukosa huduma mhimu kama binadamu. Mwogopeni sana huyu mtu, na anapaswa kuchukiwa mno kwa kuwa hawa ndio chanzo cha umasikini mkubwa unaoikabili nchi.
- Ni zezeta, ama taahira au mjinga ambaye hakuwahi kuona mlango wa darasa au ni masikini wa kutupwa, limbukeni au mganga njaa na msaliti mkubwa wa jamii yake; huyu muoneeni huruma na msaidieni kwa kumuelimisha kwamba umasikini wake, njaa yake na ujinga wake unaweza kuondoka kwa kufanya mabadiliko katika serikali
Kwa hiyo kama ukiona yeyote anashabikia CCM, basi muweke tu kwenye makundi hayo mawili. Bahati mbaya ilioje, hawa watu ni wengi kweli hasa kwenye kundi namba mbili. Yupo tayari kupoteza uhai wa mwenzie ili yeye apate makombo ya kile wanachodondosha mafisadi.
Ilikuwa ni heri watu hawa wasingelizaliwa kabisa!
Ukiona mtu anashabikia CCM basi ujue yupo kwenye kundi mojawapo kati ya haya:
- Ni fisadi wa kutupwa; asiye na hata chembe ya huruma kwa watanzania masikini wanaoteseka na kufa usiku na mchana kwa kukosa huduma mhimu kama binadamu. Mwogopeni sana huyu mtu, na anapaswa kuchukiwa mno kwa kuwa hawa ndio chanzo cha umasikini mkubwa unaoikabili nchi.
- Ni zezeta, ama taahira au mjinga ambaye hakuwahi kuona mlango wa darasa au ni masikini wa kutupwa, limbukeni au mganga njaa na msaliti mkubwa wa jamii yake; huyu muoneeni huruma na msaidieni kwa kumuelimisha kwamba umasikini wake, njaa yake na ujinga wake unaweza kuondoka kwa kufanya mabadiliko katika serikali
Kwa hiyo kama ukiona yeyote anashabikia CCM, basi muweke tu kwenye makundi hayo mawili. Bahati mbaya ilioje, hawa watu ni wengi kweli hasa kwenye kundi namba mbili. Yupo tayari kupoteza uhai wa mwenzie ili yeye apate makombo ya kile wanachodondosha mafisadi.
Ilikuwa ni heri watu hawa wasingelizaliwa kabisa!
Lukolo lugha uliyotumia ni kali sana. Hata mimi nahitaji mabadiliko saana lakini si kwa hoja kama zako. Wewe nikujuze tu, si wote wanaoshabikia CCM wana element ulizozitaja hapo juu kabisa. Naomba uelewe tunahitaji saana mabadiliko kwa sababu kuu zifuatazo:-
Hivyo basi punguza jazba kidogo, njia bora ya kumkataa kiongozi au kumrudisha kiongozi madarakani ni KURA pekee na si vinginevyo. Tuombe Mungu kila mtu apige kura kwa muono wake. Usije ukasema nami fisadi, mimi nataka kunyoosha tu baba
- Kuchoshwa na ahadi hewa kila mwaka.
- Usimamizi hafifu wa rasilimali za taifa.
- Serikali inayokosa mamuzi katika mambo mazito ya kitaifa na mengine mengi tu