Mkuu tatizo ni kuwa CCM wanaipenda watu wenye mtazamo finyu.Wakipewa kanga,kofia,fulana wanajiona wamefika kumbe ni 0+0=
CCM kuna umoja na mshikamano miongoni mwa watu ndugu yangu,
Kiukweli hakuna chama kinachoshirikisha watu wote tanzania hii kama ccm.
Usiangalie midomoni angalia mioyoni kama mwanasaikolojia utajua,usiangalie na kufikiria ndani ya box,toka nje ya box uone.
Chama gani kinauwezo wa kuunda serikali zaidi ya ccm,utendaji na kelele ni vitu tofauti,kufikiri na kutenda vinatengamana.
yawezekana hata wewe ni CCM
Chama cha Mapinduzi mara tu baada ya kifo cha mwalimu kimekuwa mstari wa mbele kutekeleza uovu uliopindukia kwa watanzania. mathalan, CCM ni mafisadi, walinda mafisadi, dhurumati, wezi, wauaji, waongo, wazushi, wamejaa mawazo mabaya siku zote, wanafiki, wajenzi wa umasikini wa kielimu na kiuchumi kwa watanzania. Hebu fuatilia nukuu hizi za Biblia, Union Version uone jinsi CCM walivyo kinyume na Mungu wa Ibrahimu, Muumba mbingu na nchi.
- Mithali 12: 22 " Midomo ya uongo ni chukizo kwa BWANA;Bali watendao uaminifu ndio furaha yake" na Mithali 15:26 "Mashauri mabaya ni chukizo kwa BWANA; Bali maneno yapendezayo ni safi" Fuatilia kauli za Werema na Spika pamoja na mawaziri wote wa CCM bungeni.Ona kauli za Pinda bungeni na huko kwenye gesi huko Mtwara utabaini ninachokisema....
Hivi ni Mungu gani huyo unayemsema.........Hujui kama Mungu wako siyo wa wote.........Wewe una mamlaka gani na umepewa na nani ya kuanza kuhukumu wengine...............put in your memory, politics and politician don't do God.
Mungu gani unaye msema? Hujasoma biblia kwamba usihukumu usije ukahukumiwa pole sana kila mamlaka huweka na mungu hivyo ukipinga mamlaka yeyote halali unapingana na mungu, hivyo basi kwa uelewa wako mdogo unastahili kupewa maziwa yasio goshiwa!!
kuna mamlaka ya Mungu na shetani si zote zimeweka na MUNGU.Mungu gani unaye msema? Hujasoma biblia kwamba usihukumu usije ukahukumiwa pole sana kila mamlaka huweka na mungu hivyo ukipinga mamlaka yeyote halali unapingana na mungu, hivyo basi kwa uelewa wako mdogo unastahili kupewa maziwa yasio goshiwa!!