Tukundane
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 11,455
- 8,249
Kutokana na kushamili kwa rushwa ndani ya ccm katika chaguzi mbalimbali za ndani ya chama hicho na nje ya chama.ninashindwa kuelewa kuwa ndani ya ccm hakuna mwanachama ambae anaweza kuchaguliwa mpaka atowe rushwa?.katika chaguzi zinazo endelea hivi sasa ndani ya ccm nimefuatwa na wanachama zaidi ya 2 ambao walikuwa na nyazifa mbalimbali kwenye ccm na wanataka kuzitetea nyazifazao kuwa niwape fedha ili wakawaweke wajumbe sawa.
Kwa vile sina uwezo wa kifedha nimejaribu kukataa lkn naona imeshindikana kwa sababu imekuwa kelo kwangu. kwani hao watu wananifuatafuata utafikili walinikopesha imebidi niwaahidi kuwatafutia.nilipo wauliza kwanini wanatafuta hela kwa ajili ya kuwaweka wajumbe sawa?.nimejibiwa kuwa mnasema kwa watumishi ndiko kuna rushwa?
Iiliopo kwa watumishi siyo rushwa ni takrima rushwa iko kwetu wanasiasa huwezi ukapata uongozi bila kutoa rushwa halafu huwezi ukasubiri siku ya kujinadi eti ndio uweze kujinadi huwezi kupata kura unatakiwa kwanza uwazungukie kwanza wajumbe wote hukohuko ili umalizanenao
Kwa vile sina uwezo wa kifedha nimejaribu kukataa lkn naona imeshindikana kwa sababu imekuwa kelo kwangu. kwani hao watu wananifuatafuata utafikili walinikopesha imebidi niwaahidi kuwatafutia.nilipo wauliza kwanini wanatafuta hela kwa ajili ya kuwaweka wajumbe sawa?.nimejibiwa kuwa mnasema kwa watumishi ndiko kuna rushwa?
Iiliopo kwa watumishi siyo rushwa ni takrima rushwa iko kwetu wanasiasa huwezi ukapata uongozi bila kutoa rushwa halafu huwezi ukasubiri siku ya kujinadi eti ndio uweze kujinadi huwezi kupata kura unatakiwa kwanza uwazungukie kwanza wajumbe wote hukohuko ili umalizanenao