KAMANDA HANGA
Senior Member
- Sep 22, 2011
- 158
- 58
- Sijakuelewa unachosema Fred ni mfanyabisahara wa siku nyingi sana mimi ni Baharia, sasa tunakuaje sawa kiuchumi, nina marafiki wengi sana hapa mjini niliokuwa nao ambao toka zamani ni wafanya biashara sifanani nao, my super best friend anamiliki ile Mall pale karibu na Mwalimu Msasani, na baba yake sio kiongozi ila yeye toka zamani ni mfanya biashara,
- Mambo unayoyataka kuyasema bila usahhidi ni majungu at best bro!!
le mutuz
Haya bwana le mutuz endelea kuwa msaarabu lakini wajua ukweli wote ukoje na mitaji hiyo ya biashara ilipatikana vipi na opportunities zilipatikana vipi!! Take care bro!