PAMBA1
Member
- Sep 13, 2011
- 55
- 26
Leo ni siku ya kumbukumbu ya hayati baba yetu mpendwa wetu mzee wetu babu yetu mwl Jk Nyerere nilikuwa home asubuhi najaribu kutafakari na kupitia vitabu alivyoandika Mwl Nyerere nikiwa nasoma kuna wazo likanijia eti jamani tukisema tuwalinganishe watoto wa marais wetu wote waliopita.
Je utakuta watoto wa rais gani watakuwa bado ni watu wa kawaida na wazalendo wa kuipenda nchi na watanzania wote. Nikatamani nimlinganishe Ridhi one Kikwete na Makongoro Nyerere ni yupi ambaye anaweza kuwa na maadili ya kuipenda nchi yake kwa maana ya kujilimbikizia mali na kujivunia cheo cha wazazi wao.
Je utakuta watoto wa rais gani watakuwa bado ni watu wa kawaida na wazalendo wa kuipenda nchi na watanzania wote. Nikatamani nimlinganishe Ridhi one Kikwete na Makongoro Nyerere ni yupi ambaye anaweza kuwa na maadili ya kuipenda nchi yake kwa maana ya kujilimbikizia mali na kujivunia cheo cha wazazi wao.